Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,628
Nenda mahakamani
Sababu za kutaka kukanushwa ni nini ??NILIWAITA MAKATIBU WAKUU kutaka kuvunja mkataba wa Richmond lakini Mwanasheria Mkuu Ndugu Mwanyika aliporudi kutoka nje alisema kuwa nimepokea simu kutoka mamlaka ya juu kuwa mkataba usainiwe. Mwisho wa kunukuu. Sisi kama waumini wa CCM tumefadhaishwa na maneno haya na hivyo tunaomba maneno haya yakanushwe katika vyombo vya habari, magazeti na hata kwenye redio vinginevyo huku mitaani hakukaliki.
Wewe sio kila wakati unatumia akili ndogo utabaki maskini wa fikra daima.Mtu mwadilifu siku zote husimama katika ukweli na haki.Kama aliona mkataba wa Richmond una matatizo kwa nini hakugoma kusaini? Na hata kujiuzulu kama aliona watu wanataka asaini ili kulinda hadhi yake ya uadilifu na kulinda mali za umma?
Kusema alishinikizwa kusaini alishinikizwaje? Alishikiwa bastola au? Madhara ya kusaini kisheria si anayajua? Aliyesaini ndiye mhusika mwenyewe au hilo halijui.Kwa taratibu za kikazi hakuna kitu kinachoitwa kushinikizwa kusaini.Mtu anayesaini ana uhuru wa kukubali kusaini au kukataa na hata kujiuzulu akiona kutia sahihi huko kutampa matatizo huyo aliyesaini.
Kama aliidhinisha RICHMOND kusikizia kuwa alipata shinikizo toka juu ni uongo na utapeli mkubwa angegoma kusaini na angejiuzulu na akaeleza sababu za kugoma kusaini na kujiuzulu kuwa ni kwa sababu hataki Richmond leo hii angekuwa shujaa wa kimaadili.Kusaini kunaonyesha mzee mzima alikula pesa aache uongo.Zigo la Richmond analo.
Save that bullcrap to some CDM kid not me please.
Yani unataka mtu aliyeficha uovu wa CCM kwa miaka 8 baada ya kufahamu,if that was the case anyways,ndio apewe nchi?do u even listen to yourself?
Wakati slaa anamwita Lowassa Fisadi hakujua haya unayobwabwaja hapa?wakati viongozi wenu wakuu wooote walipotumia kodi zetu kuzubguka jukwaa baada ya jukwaa kumuambia Lowassa na marafiki zake hamkuyajua hayo?what changed?
Msifanye watu hatunazo.
Hapa kuna visasi ,kwa ngazi ya Waziri Mkuu ,huwezi kukwepa eti ngazi za juu zimeamuru wakati wewe mwenyewe ni sehemu ya hiyo ngazi! Huyu jamaa hafai amuogope Mungu
Unajua mamlaka ya mwanasheria mkuu lakini?
Unajua anaripoti wapi?
Unajua hawezi kuhojiwa wala kushtakiwa kwa ushauri wake?
I guess am convinced to say thank you for your utmost stupid comment i have ever seen. Thanks for your efforts anyway.
Ili iweje? hakuyasema hayo alipopewa nafasi ya kujieleza bungeni, badala yake akasepa na kutangaza kujiuzulu? leo nani atamwamini mpenda madaraka huyo?
Ili iweje? hakuyasema hayo alipopewa nafasi ya kujieleza bungeni, badala yake akasepa na kutangaza kujiuzulu? leo nani atamwamini mpenda madaraka huyo?
"Nilitaka kuvunja mkataba wa Richmond baada ya kugundua kuna mashaka ya Upatikanaji wake, Alie husika kuingia mkataba aliomba Lisaa limoja na alipo rudi alisema haya nimeambiwa na mamlaka ilio juu ya ofisi ya Waziri Mkuu nisivunje" .
"Mwenye ushahidi aende mahakamani kama huuna ushahidi plz shut up and keep quite.
#Edward Lowasa
#zuiaGoliLaMkono2015
Mkiendelea kuuliza tunamwaga ugali wote.
Huyu mammvi siyo amewehuka kweli,haya tutamwona anachokitaka jasho litamtoka,
Save that bullcrap to some CDM kid not me please.
Yani unataka mtu aliyeficha uovu wa CCM kwa miaka 8 baada ya kufahamu,if that was the case anyways,ndio apewe nchi?do u even listen to yourself?
Wakati slaa anamwita Lowassa Fisadi hakujua haya unayobwabwaja hapa?wakati viongozi wenu wakuu wooote walipotumia kodi zetu kuzubguka jukwaa baada ya jukwaa kumuambia Lowassa na marafiki zake hamkuyajua hayo?what changed?
Msifanye watu hatunazo.
Lowassa: Nilipeleka documents kuwa kampuni ya Richmond haikuwa halali. Hizo documents nilizipeleka kwa mwanasheria mkuu Johnson Mwanyika. Lakini baada ya siku tano nilipoona mwanasheria mkuu hatekelezi niliamua kuitisha kikao kilichoongozwa na katibu mkuu kiongozi pamoja na makatibu wakuu wahusika akiwemo mwanasheria mkuu. Tuliongea mengi ila mwanasheria mkuu akaomba pumziko la masaa mawili. Alitoka nje kuongea na simu na aliporudi ndani akasema kuwa mamlaka ya juu imeagiza kuwa Richmond ni halali na kila kitu kiendelee kama ilivyokuwa. Mimi Lowassa ningeongea tena nini?
Sasa huyu lowassa si asema wazi kuwa Richmond ni ya kikweta