Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 257
nafikiri uko sahihi wateule wake yawezekana huwa wanapeleka kwake return kama sehemu ya mgaondio maan mpka sasa mkuu hajasema kitu kwa kisingizio yuko nje ya nchi....lakini anauujua ukweli mzima kuwa na yeye anahusika.....
Mawaziri wanajua mchezo mzima......