TAKUKURU wamemeza valium bado wamelala wewe
takukuru mambo kama haya hawayawezi-maana yanakuja ku-involve watu wengi na wenye madaraka-ukitaka kuona makali ya takukuru subiri kesi ndogo ndogo kama za wenyeviti wa vijiji kudaiwa kupokea rushwa-hapo ndo utaona kazi ya takukuruTAKUKURU wamemeza valium bado wamelala wewe
Then wizara zote ziwe held responsible. Kwani kuna gharama gani kuvunja baraza lote la mawaziri na kuteua wengine? Tuna watanzania zaidi ya milioni 40, haiwezekani kwamba kati ya hawa wote hakuna mawaziri au makatibu wa wizara.What I'm afraid of is, "What if this is just a tip of an ICEBERG?", na kwamba GAME hii inachezwa na wizara zote?
St. Thomas Aquinas University | Advanced Diploma in Rural Development | 1980 | 1981 | ADV DIPLOMA |
TransWorld Tutorial College, London | Certificate in Management | 1985 | 1985 | CERTIFICATE |
Kwermusl Primary School(Mbulu) | Primary Education | 1958 | 1960 | PRIMARY |
Daudi Primary School | Primary Education | 1961 | 1961 | PRIMARY |
Karatu Primary School | Primary Education | 1962 | 1965 | PRIMARY |
Dung'unyi Seminary School | O-Level Education | 1966 | 1969 | SECONDARY |
Itaga Seminary School | A-Level Education | 1970 | 1971 | HIGH SCHOOL |
Kibosho Seminary School | Certificate in Philosophy | 1972 | 1973 | CERTIFICATE |
St. Urban University, Rome | PhD (JCD) Law | 1977 | 1981 | PHD |
Kipalapala Seminary | Certificate in Theology | 1974 | 1977 | CERTIFICATE |
International Eye H. Centre | Certificate in Eye Health | 1993 | 1993 | CERTIFICAT |
halaf baada ya hyo itaundwa tena tume ya kupitia uchunguzi na maoni ya tume ya uchunguzi.Mi nasubiria tu, iundwe tume kama kawaida!!!
St. Thomas Aquinas University
Advanced Diploma in Rural Development
1980
1981
ADV DIPLOMA
TransWorld Tutorial College, London
Certificate in Management
1985
1985
CERTIFICATE
Kwermusl Primary School(Mbulu)
Primary Education
1958
1960
PRIMARY
Daudi Primary School
Primary Education
1961
1961
PRIMARY
Karatu Primary School
Primary Education
1962
1965
PRIMARY
Dung'unyi Seminary School
O-Level Education
1966
1969
SECONDARY
Itaga Seminary School
A-Level Education
1970
1971
HIGH SCHOOL
Kibosho Seminary School
Certificate in Philosophy
1972
1973
CERTIFICATE
St. Urban University, Rome
PhD (JCD) Law
1977
1981
PHD
Kipalapala Seminary
Certificate in Theology
1974
1977
CERTIFICATE
International Eye H. Centre
Certificate in Eye Health
1993
1993
CERTIFICAT
na ndiyo maana hana wasiwasi, kama aliagizwa kufanya hivyo sasa kosa lake lipo wapi? mtajua mengi sana mwaka huu, huu uji-koboaji magamba yanakuja na mengi. msije mkasikia hata waliokwisha kufa wapo hai.
Watanzania, nawaambia haiwezekani Jairo akathubutu kufanya "dill" kubwa kama hiyo peke yake. Most likely, top management ya wizara ilikaa kupisha hiyo na kumpa baraka kwani walijua kuwa issue ya umeme itakuwa moto bungeni. Akiwajibishwa Jairo peke yake, basi Bwana Kiwete na Pinda, historia itakuhukumu.Fikiria chukua uamuzi makini!!!!