Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Hehehe, hata mimi nahofia sana hilo. Maana hao ndiyo walikuwa target ya ile hongo. Maana wa CCM huwa ni bendera kufuata upepo tu, lakini hawa wa upinzani ndo siku zote huwa wapo kinyume. So inawezekana jamaa wakawa waliwakati hawa wa upinzani ili wapunguze kelele. Na ukiangalia katika wachangiaji, wa CHADEMA yupo mmoja tu. Wasijekuwa waliambiwa wasiseme lolote. Nawaambieni utakuwa ni mshangao hapa.Uko sahihi kabisa, hata hivyo, orodha ikipatikana, naamini kabisa kuwa wale wa CDM ndio watakuwa wengi, ndio walengwa wa fungu lile ili walegeze msimamo.
Mungu asaidie wafahamike, mtapata mshangao wa kufa mtu. Usishangae kumkuta JJ M**&ka kwenye list.