KASHFA WIZARA YA AFYA: Yaajiri zaidi ya 'Madaktari' 80 wasiokuwa na sifa

1st july .. yaani jumatatu mchakato wa kuandikisha interns wapya unaanza .. mambo ni mengi watajirekebisha

So unataka niambie sababu ni hiyo ndo maana wameharakisha..mbona siku za nyuma walikua wanatoa ht September or November. ...
 
Wanashida gani wakati wao (viongozi) ,familia zao na hata marafiki wao wanaenda kutibiwa India/nje?
 
Tatizo hili siyo kwa madaktari tu pamoja na kada zingine kama ya mifupa kati ya wanafunzi 20 tu waliyohitimu mwaka juzi ni wawili tu wamepata ajira katika nafasi nyingi za fani hiyo zilizotolewa, mbaya zaidi wawili hao wamepangwa katika utatibu wa macho.

Wataalam hawa wanajiuliza hao wengine wapatao karibu 30 wamewapata wapi na wamepataje hizo nafasi, wenyewe wakifuatilia hapo wizara hakuna kauli ya maana wanayoambiwa zaidi ya kuambiwa wasubiri wajadiliane majibu yanayotia hofu kubwa kuwa kuna mchezo umefanywa kuajiri wengi kutoka vyuo vya nje ambao pengine hawafikii sifa hizo.

Ni vema hili likachunguzwa na chombo kingine badala ya wizara yenyewe.
 
Kuna mtu kaandikwa halmashuuri ya wilaya ya.....wakaishia hapo,mwingine kapangiwa halmashauri tatu...mwingine ni medical doctor kapangiwa tabibu wa meno.....walisema walio inservice wasiapply but kuna watu wameapply na wamepata...mmh kweli majanga.
 
Yani madudu matupu..jana limetoka tangazo kuwa wanaomba radhi..na wanafanya marekebisho kwa interns.sasa je na wale waliopangiwa halmshauri tatu....wakaripotI kote
 
kuna jamaa alishapangiwa kituo mwaka juzi,naona mwaka huu tena ametokea.
Haya ndio matunda ya perdiems za kukaa morogoro?
 
mie mwenyewe kuna mtu namjua yuko pale sehemu eti ni daktari
wakati alisoma degree ya Sociologia sasa sijui kama siku hizi
mwana Sociology anaweza kuwa daktari
Mhh jamani mi napinga hii. kuna profesheni za ku forge lakini sio udaktari.
 
yani madudu matupu..jana limetoka tangazo kuwa wanaomba radhi..na wanafanya marekebisho kwa interns.sasa je na wale waliopangiwa halmshauri tatu....wakaripoti kote

hii wizara upendeleo na rushwa imekithiri,watoto wa vigogo na watoa rushwa wanapata vyeo na sehemu za kazi wanazotaka, mtoto wa mkulima ata ajira hiyo haipati
ata nafasi za kwenda kusoma postgraduate zinatoka kwa upendeleo au rushwa,enyi watumishi wizara ya afya badilikeni.
 
Taabu ya kumpa Mbunge Mzanzibari Wizara isyokuwa ya Muungano kwa ajili tu ya iswahiba na upendeleo!

Ona sasa inamshinda!
 
kuna jamaa alishapangiwa kituo mwaka juzi,naona mwaka huu tena ametokea.
Haya ndio matunda ya perdiems za kukaa morogoro?

Haswaaa..eti walienda morogoro kupanga post .huko ni kupoteza tu kodi zetu..kwan kupangia ofisini wangeshindwa nini..ona sasa wamepewa nafasi ya utulivu kufanya kazi huko moro matokeo yake WAMEVURUNDA....aibu kwa wizara..cha ajabu hakuna mtoto wa mkubwa ht mmoja aliyepangwa kijijini..ni wizarani na hospitali za wilaya tena za DAR...ilI siku mbili wakawe waganga wakuu...IPO Siku tu..tena zimebaki chache
 
haswaaa..eti walienda morogoro kupanga post .huko ni kupoteza tu kodi zetu..kwan kupangia ofisini wangeshindwa nini..ona sasa wamepewa nafasi ya utulivu kufanya kazi huko moro matokeo yake wamevurunda....aibu kwa wizara..cha ajabu hakuna mtoto wa mkubwa ht mmoja aliyepangwa kijijini..ni wizarani na hospitali za wilaya tena za dar...ili siku mbili wakawe waganga wakuu...ipo siku tu..tena zimebaki chache


yaani hii wizara ni uozo mtupu,ukipitia iyo orodha yao watoto wavigogo wote wamepangiwa wilaya za mjini wengi wao dar,yaani tena wengine wanatuambia kabisa na vitengo wamechaandaliwa.
Kuna aja ya kuitisha maandamo ya amani kulaani uchafu unaondelea w/afya( hasa rushwa na kupeana vyeo vikubwa).
 
Tatizo hili limetokea kwa kada zote, na watu wa utumishi hawakushirikisha mabaraza yote, hata chief pharmacist, chief medical officer, na chief nursing officer hawakushirikishwa. walichokifanya hawa jamaa ni kuchukua walioomba bila kuzingatia kuwa wengine ni interns na hawakupaswa kupangwa. Baadhi ya mabaraza wameorozesha idadi ya hao interns waliopangwa na kupeleka orodha utumishi. Ila ni ukweli usiopingika kuwa wengine wamepachikwa makusudi kabisa wakati hawana sifa na hao jamaa wa utumishi.
 
:clap2::clap2:
jamani haya ni matunda ya kukosa kitu kinachoitwa uzalendo maana kwa sasa mtu akishika post anaitumia kweli maana anjua tu at any time t hakutakuwa na kitu , jamani kwa factor ya uzalendo hata nani akapewa chance si rahisi kutenda haki kama hana uzalendo
tukijadili xana tunaongeza machungu
 
Back
Top Bottom