Kasheshe la Mafuta: Dar kimeanza kuwaka, vituo kadhaa vyaanza kutoa mafuta!

Amani upendo na utulivu ni ngao yetu,msishawishike na hivyo vyama vya fujo vitawaghalimu sana.mashehe na wachungaji ipiganieni amani.
 
kidumu chama cha mapunduzwiiiiiiiiii?.........
udumu mgao wa umemeeeeeeee?.........
udumu mgao wa mafutaaaaaa?..........
Udumu ufisadiiiiiiiiii
Adumu jairo, shimbo, Manji, RA. AC, EL
Tunataka nchi yetu sasa uvumilivu umefikia kikomo chake kesho tunalianzisha hapa arusha mpaka kieleweke...
Hii inaonyesha jinsi gani serikali legelege inavyofanya mambo yake..mfano chakula, oxgen vingekuwa chini ya serikali hakika leo hii tungeanbiwa kuna mgawo wa oxgen(hewa) na sijui tungefanyeje..lol serikali ya magamba
 
Hivi hakuna watu wenye vibiriti huko mtaani?chomeni sheli moja then wengine watajifunza.ngoja nije nawape wazo mbadala nikiwa na kibiriti changu.
 
There are currently 363 users browsing this thread. (84 members and 279 guests)

Jamani nyomi lote hili linasubilia updates
 
Mnajua nini?
Mimi ninaside na hawa wafanyabiashara

In short Tanzania ni nchi ambayo ngumu sana kufanya biashara na sishangai sana kuhusu hizi charges na rushwa iliyokithiri

serikali inasema meli zinakaa siku 5 kule baharini...ukweli ni kuwa meli zinakaa mpaka siku 50 kule nje baharini kwenye foleni sasa hilo huhitaji kujua kuwa kuna incompetency sehemu na sishangai kuskia TRA na EWURA wana husika

Sasa huyu kaleta hoja na vielelezo na kasema kama kuna mtu anahitaji zaidi amtumie e-mail.

sisi tumezidi:

rushwa

urasimu

mazingira magumu kufanya biashara

Kodi zisizoeleweka kila kona badala ya kodi moja na ambayo inaeleza inafanya nini

local authorities kujaa staff ambao pia ni wala rushwa na wahuni



sasa tusitake kukaa hapa na na kutaka kuitakasa sana serikali na departments zake ili hali ukweli tunaujua lakini hatutaki kuuweka wazi. Naungana na wenye vituo hivi na nashauri its about time they come back and fight hizi slander wanaztumiwa kwa kuweka wazi jinsi wanavyonyonywa watu kama TRA,TBS,EWURA, LOCAL AUTHORITIES na kadhalika.

sitaki kuanzisha thread nyingine kwani siku hizi naona kabla hujaanzisha thread inabidi ipitie kwa GESTAPO wa JF kabla hajatundikwa so tutaendelea humu humu kuelezana

Lakini baada ya catalogs za uwongo toka serikalini mimi nikiambiwa nani nimwamini between serikali na wafanyabiashara hawa then nadhani mnajua nitakuwa upande upi
 
jamani tusivunje hii amani yetu tuliyopewa na Mungu

Mkuu Ivuga kama amani itavunjika basi hakuna wa kulaumiwa ila ni CCM na Serikali yake kwa kudharau vilio chungu nzima vya Watanzania kwa miaka chungu nzima sasa toka kila kona ya nchi yetu kuhusu adha kubwa wanazozipata katika maisha yao ya kila siku zikiwemo ukosefu wa umeme na sasa mafuta.
 
Tatizo la mafuta:

Hatimaye Tabata maeneo ya Mwananchi, wananchi waziba barabara wakishinikiza sheli iuze mafuta, nakufanikiwa kuweza kupima mafuta na kukuta Diesel ipo ila Petrol imekwisha wakisimamiwa na Askari wa FFU, askari mmoja aliyejitia kimbelembele wa kutuliza ghasia kapigwa jiwe.

Wameahidi wakitoka hapo wanaelekea Ubungo Terminal.

Source: Clouds FM

Barabara yote ya morogoro mafuta yapo, nimetoka huko mida mida hii hii, foleni inaenda ikipungua sasa.
 
jamani tusivunje hii amani yetu tuliyopewa na Mungu

ni kweli usemavyo mkuu...., but who anataka amani ivunjike zaidi ya Govt legelege? Govt imara inayojali na kuwatii wananchi wake haitatokea hata cku moja amani kupotea......! but Govt ya JK, katika hali kama hii umeme, ufisadi, shida ya mafuta nk....! taarifa inasema mafuta yapo but jamaa wamegoma kutoa! sasa mkuu tutategemea nn toka kwa wananchi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Amani upendo na utulivu ni ngao yetu,msishawishike na hivyo vyama vya fujo vitawaghalimu sana.mashehe na wachungaji ipiganieni amani.

Hivi hakuna watu wenye vibiriti huko mtaani?chomeni sheli moja then wengine watajifunza.ngoja nije nawape wazo mbadala nikiwa na kibiriti changu.

Ukiwa mwongo.. uwe na kumbukumbu....
 
Back
Top Bottom