Mtu_imara
Senior Member
- Jan 7, 2023
- 135
- 185
Ukisingiziwa fanya kweli sasaHapana,nasingiziwa mkuu
Ukisingiziwa fanya kweli sasaHapana,nasingiziwa mkuu
Umenifanya nitafute uzi nione bakuliToka nione aina ya bakuli alilokuwekea mkeo, supu ya kuku,mliyochinja baada ya kuumwa na nyokadah hata sijui nikoment nn anyways life is for the living
Hawa wenzetu hawa ni balaa tupu.Hapo chacha.
Yaani we wenzetu wanaweza kufa kwa njaa ilimradi tu buku mbili yao ibaki salama.
Kimbembe ukimtoa out anaweza kula msosi wa elfu 12 huku anacheka