Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
sasa kama hamuwahitaji kwanini mnawa'nga'ngania? how many times wakwambieni kuwa mmewabebesha "zigo" halibebeki, mkaliita "muungano", wanatamani sultani arudi maana huyu wasasa(ccm) wamemchoka na mnamuweka nyie.huwa napata tabu sana na hawa wazanzibari mkuu...wanafanya ionekane kama tunawahitaji sana!na uwezo wa uchangiaji wa huyo jamaa hapa ndio unaharibu zaidi siku yangu..ovyo sana!