Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
In the 1950s, more women aspired to marry their bosses. Photograph: Lambert/Getty Images
Karrne ya 20 na kabla ya hapo njozi ya wanawake wengi ilikuwa kuolewa na mwanaumme mwenye kipato kikubwa zaidi yao. Binti alikuwa akisomea ukatibu muhtasi akitarajia bosi wake atamwoa............lakini sasa mabadiliko ya kiuchumi ambayo yamewaacha wanaumme wengi wakijutia ukiwa wa kimapato sasa akina dada wengi itabidi wajibanze na wanaumme wenye kipato sawa na chao au hata chini ya kile wanachokichuma kwa sababu wanaumme wenye uwezo wanazidi kupungua huku idadi ya wakina dada wenye kivuno kizuri wanazidi kuongezeka..................
Kwa hiyo MR. RIGHT sasa aweza kuwa karani wa bosi wa kike na hili msipige baragumu la kulalama....................kubalini yaishe kwa kukubali mafanikio ya kumkomboa mwanamke......ni pamoja na kuoa badala ya kuolewa kwa sababu ya kauli mbiu nanyi mnaweza ingawaje hiyo kauli mbiyu haibainishi ya kuwa mnaweza kutuoa pia....lol
soMA hizi khabari kwa ufafanuzi zaidi:-
Shift in marriage patterns 'has effect on inequality'
[h=1]More women work as pay gap narrows slightly[/h]