Lakini unaweza ukapata huduma zingine kwa njia ya mtandao. Advanced Annointing
wapedwa kwa wale mlioko dar,
nawakaribisha kwenye ufunguzi wa huduma ya ngurumo ya upako hapa dar es salaam, itafanyika kwenye viwanja vya tanganyika pakers kawe, na ibada zitakuwa zinaendelea hapo kila jumapili, mtumishi wa mungu geor davie atakuwepo kukuhudumia.
Mimi ni muumini wa kanisa hilo nawakaribisha sana mje muone ukuu wa bwana.
kwanini mhehama arusha wakati bado mnahitajika sana?/
nadhani dar kuna wahubiri wengi sana,
mngekaa arusha mngewalisha zaidi kondoo wa bwana
ushauri wa bure:tafuteni mtu awatengenezeeni website jamani hiyo sijui ni kitu gani mmeweka hapo.
Joyceline asante sana kwa kutukaribisha,mimi nina shida kidogo,shida yenyewe ni natafuta mchumba mwema, naimani nikija hapo nitapata kufunuliwa.je nikifika hapo nitakuonaje?
nashukuru kwa ushauri wako mzuri...nitaufanyia kazi .Unapomtafuta Mungu, kwanza unatakiwa nia ya kumpokea Yesu na kubadili matendo yako, unapoenda kwenye ibada au maombi kwa nia ya kutafuta mchumba, nakuhakikishia ndugu yangu hutapata. Biblia inasema , mtafuteni kwanza Mungu kwa bidii na hayo mengine mtazidishiwa.
Ubarikiwe JoyHakuna ndoa isiyokuwa na migongano, ukiacha yule ni mtumishi wa Mungu lakini pia ni binadamu siyo malaika,
Hajaachana na mke wake wanaishi naye na wala hawana ugomvi, kama ulisikiliza kama wiki tatu zilizopita alihojiwa na Wapo radio na akaulizwa swali hilohilo akalitolea ufafanuzi, kwamba anaishi na mke wake vizuri hata wakitaka ampigie simu waonge naye.
Kaa chonjo,Ibilisi huyoooo anakuja!Joyceline asante sana kwa kutukaribisha,mimi nina shida kidogo,shida yenyewe ni natafuta mchumba mwema, naimani nikija hapo nitapata kufunuliwa.je nikifika hapo nitakuonaje?
Joycelin unaweza ukawa ni wewe tuliyekutana Kyela nyumbani kwa mwenyekiti wa CCM Mzee Mwakasumi au majina tu yamefanana?
Kama ni wewe mimi ni"mwanao"wa pale Kyela-Bondeni ambaye niliyeondoka Kyela kwa"sababu za kisiasa"
Nijulishe!
Wenye afya hawaitaji daktari bali walio wagonjwa, Mungu anawaita wote na atakubadilisha taratibu. Karibu mpedwa.
hehehe umenikumbusha wanao enda kanisani walio wengi ni wenye matatizo yao wangine wanaenda kwa ajili ya kujisafisha si uliona Yo Yo alimdondokea Mungu? baada ya matatizo kumbana akaamua kumrudi Mungu. Mi bado sijakumbwa nasubili.
wewe Nyamungo vp tena mkaribisho tuchangie nini sasa?
Mi nitakuja nitakuwa napiga 2 kwenye bar opp. na yanapo paki malori pale kisha narudi mkutanoni bila stimu siwezi nikasikiliza vizuri neno.
Joycelin unaweza ukawa ni wewe tuliyekutana Kyela nyumbani kwa mwenyekiti wa CCM Mzee Mwakasumi au majina tu yamefanana?
Kama ni wewe mimi ni"mwanao"wa pale Kyela-Bondeni ambaye niliyeondoka Kyela kwa"sababu za kisiasa"
Nijulishe!