picha yenyewe umepigwa kwa mbaali, unaonyesha uliyo mwoga, ungesema tukuletee picha za ndani ya temple!
hazinisaidi kitu maana hata kwenye net zimejaa za ma logde yote au unafiki ni hapa kwetu tanzania watu wanawanga wanajii freemans. Ushambaa tuu
Ndio Mkuu ni Dini kama dini nyingine kwani hizo nyingine zilianzisha na nani maana siku hizi zipo nyingi wengine wasanii tu wanasaka mahela kwa jina la yesu
Ni kongwe kweli hapa kwetu maana ilianzia Zanzibar na mkuu wa kanda yetu yuko hapahapa TzUmeona mkuu eeeh ni hatari, na haka kadini unaambiwa makao makuu yapo tz kwa afrika
Aaaaaghhhh..