Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 643
Heshima mbele Jf ...
Naona bado asilimia fulani ya watu wapo kizani, kwenye suala zima hili la gharama mbali mbali ambazo watapaswa kugharamia mbali na ushuru wa TRA kwaajili ya magari yao.
kwa namna fulani, hii imeleta mkanganyiko kwa watu wengi, sasa basi kwakua
JF IS WHERE WE DARE TO TALK OPENLY
Mimi na wewe na mwingine ambaye anafahamu , tuweze kutumia uzi huu kuwasaidia wengine ambao bado hawafahamu.
Weka details za gari uliyoagiza ama unayotarajia kuagiza hapa tusaidiane kufanya ukokotoaji wa gharama zote hapa.
- P. O
Naona bado asilimia fulani ya watu wapo kizani, kwenye suala zima hili la gharama mbali mbali ambazo watapaswa kugharamia mbali na ushuru wa TRA kwaajili ya magari yao.
kwa namna fulani, hii imeleta mkanganyiko kwa watu wengi, sasa basi kwakua
JF IS WHERE WE DARE TO TALK OPENLY
Mimi na wewe na mwingine ambaye anafahamu , tuweze kutumia uzi huu kuwasaidia wengine ambao bado hawafahamu.
Weka details za gari uliyoagiza ama unayotarajia kuagiza hapa tusaidiane kufanya ukokotoaji wa gharama zote hapa.
- P. O