Kitendo cha kambi rasmi ya upinzani kupitia zitto kabwe kuungana na bunge kumkaribisha prof.mwandosya ni kitendo cha busara na kama 2kiendelea hivi.hakika 2tafika.naungana nao kumuombea heri mwandosya.
sounds like nonsense
liwalo na liwe
Kitendo cha kambi rasmi ya upinzani kupitia zitto kabwe kuungana na bunge kumkaribisha prof.mwandosya ni kitendo cha busara na kama 2kiendelea hivi.hakika 2tafika.naungana nao kumuombea heri mwandosya.
Mkuu hata hospitali ya taifa nayo ni inshu kuiwekea vifaa vya kisasa, madaktari bingwa kuwawekea mazingira mazuri ya kufanyia kazi! Wangekuwa serious basi wangetoa hata demo moja ya namna ambavyo hospitali zetu zinatakiwa ziwe siyo kuacha kabisa kwa kisingizio cha kurithi matatizo toka awamu zilizopita. Come on Mr. President, we are in 21 century its show time not blah blah time.nice speech to me haya matatizo yanaikabili seriali hii ya kikwete nmejaribu kuyaangalia n kwamba mengi yake kayarithi kwa waliomtangulia. kwamfano ishu madaktari ni tatizo ambalo ni kubwa na haliwezekani kutatuliwa mara moja kadhalika na yale ya waalim so ni vyema serikali ikaonyesha nia ya kuyatatua hata kwa siku zijazo manake tayari yameshaonekana kuwa magumu.