Hisham Pokoho
Member
- Jun 25, 2014
- 60
- 45
Tupo kwenye Tent ya selous,tumekuletea bidhaa zetu mbali mbali kama mold za mikanda ya Gypsum,fiber boat na mikanda ya gypsum.
WhatsApp +255653020784
WhatsApp +255653020784
Unauzaje hiziTunauza,tunarepair na kutengeneza fiber boat kwamatumizi tofauti
.Uvuvi
.utalii
.kivuko
Tupo chamazi na msasani kwa mwalimu simu 0653020784
Dar es salaam.
View attachment 2632612View attachment 2632613View attachment 2632614View attachment 2632615View attachment 2632616
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kuna tofauti gani baina ya boat na mtumbwi mbali ya lugha??Hii ni boat au Mtumbwi?
Front seat kusubiri darasa la bure endapo utajibiwa.Kuna tofauti gani baina ya boat na mtumbwi mbali ya lugha??
Nahisi ulichouliza ni mithili ya kuuliza tofauti ya food na chakula.
Ila wewe ni Dr wa falsafa. Itakuwa unajua zaidi.
Sasa na hii utaita nini?Kuna tofauti gani baina ya boat na mtumbwi mbali ya lugha??
Nahisi ulichouliza ni mithili ya kuuliza tofauti ya food na chakula.
Ila wewe ni Dr wa falsafa. Itakuwa unajua zaidi.
Front seat kusubiri darasa la bure endapo utajibiwa.
Inategemea na saizi 0653020784Unauzaje hizi
Mitumbwi ya kawaida hutumia mbao hizi hutumia materia ya fiber na hudumu kwa muda mrefu simu 0653020784Hizi fiber zina tofauti gani na mitumbwi ya kawaida?
Bei?
Ferry boat(Kivuko)Sasa na hii utaita nini?