njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Shangwe kubwa linamsubiri nabii huyu wa logo ya utopolo fc, wakati kelele zinapigwa kwamba nembo ibadilishwe mcheza netball, mwenge na bondia watolewe kelele hizo zilipuuzwa kumbe Mungu alikuwa na lengo aiseeee
Utabiri umetimia, yule bondia wa kwenye logo kapatikana na tarehe 6 atakuwepo kuchombeza siku ya mwananchi ambayo pia itatumika kama CAF FINAL PRE PARTY yaani watasheherekea in advance kuingia fainali ya champions league mwaka huu..hapa kambole, pale Ki Aziz, BM 3, mayele wweeeeeee weeeeee weeeeeeeeeeeeee
Utabiri umetimia, yule bondia wa kwenye logo kapatikana na tarehe 6 atakuwepo kuchombeza siku ya mwananchi ambayo pia itatumika kama CAF FINAL PRE PARTY yaani watasheherekea in advance kuingia fainali ya champions league mwaka huu..hapa kambole, pale Ki Aziz, BM 3, mayele wweeeeeee weeeeee weeeeeeeeeeeeee