Hakika ukizeeka akili zinakua za kitoto, waanze kumnunulia midoli ya kuchezea sasaKazeeka akili, kazi imemshinda anakimbia majukumu yake.
Akijua hivyo sasa kwanini anaomba wamuombee wakati anajua kila siku anaombewa? Au anahitaji maombi spesheli?Mkuu kwa kanisa katoliki kumuombea askofu wao na baba mtakatifu ni kawaida ktk kila ibada ya jumapili inapofika sehemu ya maombi. Haijaanza leo wala miaka michache iliyopita.
Anakumbusha tu.Akijua hivyo sasa kwanini anaomba wamuombee wakati anajua kila siku anaombewa? Au anahitaji maombi spesheli?
Kwahiyo walisahau kumwombea?Anakumbusha tu.
Ee Mungu unajua tunavyompenda sana Kadinali pengo, lakini tunakuomba wewe umpende zaidi.Baba Mungu tunamuombea Kadinali wetu Pengo baba kwani hajui atendalo. Baba amekwenda kinyume mpaka na mahubiri ya Papa Francis wakati mafundishovya Kanisa yanasisitiza utii na unyenye kevu.
Tunaomba haya kwa njia ya Kristu bwana wetu,
Amen