Kardinali Pengo na Askofu Malasusa ni kielelezo cha unafiki wa viongozi wa dini

Poa 2

JF-Expert Member
Jul 7, 2019
1,294
1,288
Hivi wakati huyu Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?

Maaskofu wa Kanisa Katoliki waliwahi kuandika Waraka kukemea maovu wakati wa Magufuli lakini Pengo aliukana waraka ule. Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?

Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?

Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?

Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.

Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.

Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?

Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
#membealipwetu#
 
Hivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?

Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?


Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti.
Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
Exactly
 
Watanzania wengi ni WAPUMBAVU sana, ripoti ya C.A.G haijafanyiwa kazi. Gharama za maisha zimepanda sana kwa wananchi wa kawaida walio wengi na ufisadi kila sehemu. Wanasiasa wamewageuza wananchi mazuzu wanawachezesha gwaride wanavyotaka na JF yote kwenye siasa mnajadili watu wawili Membe na Misiba, mna akili kweli!?!?.., hakuna mambo ya msingi ya kujadili zaidi ya Membe na Musiba!?
 
Ukiwa na fikra za shetan huwez elewa lengo la dini
Bogaz ni wewe, kwani wakati huyo Msiba anatukana watu hizo dini hazikuwepo, kazi ya dini ni kuonya, na kukemea uovu Ili amani iwepo ,sio kuacha watu wafanye uovu na kiongozi wa dini uko kimya halafu matokeo ya uovu yanapoanza kujitokeza unaanza kuwaombea waovu msamaha, hapo tafsiri yake ni kwamba eitha ulishirikiana na hao waovu au ni mnafiki usiyepaswa kuaminiwa
 
Kwani wewe SI ujadili hiyo ripoti ya CAG kwa nini unatupangia?
Halafu hiyo ripoti ni zao la genge la mwendazake yaani na akina Msiba walikuwa sauti ya like jizi kuu, tunafurahia maumivu yao mmoja baada ya mwingine. Kwa Sasa ni zamu ya Msiba
 
Hivi wakati huyu kijana wao Msiba anatukana, kukashfu na kutishia watu, wao walikuwa wapi?

Maaskofu wa kanisa katoliki waliwahi kuandika waraka kukemea maovu wakati wa mwenda zake lkn Pengo aliukana waraka ule Leo yeye wa kumwombea Msiba msamaha kweli?

Viongozi wa dini walikaa kimya hawakuonya chochote kipindi kile cha Giza wakati uovu ukitendwa hadharani au kazi yao SI kukemea Bali kuwaombea msamaha wahalifu wa wakati huo. Na kwa nini msamaha uwe ni kwa Msiba tu?

Kuna watanzania wangapi wameonewa lkn hawakuwaombea msamaha kwa waliowaonea?

Kama ni msamaha basi aliyestahili angalau kusikilizwa na kachero Membe ni ASKOFU MWAMAKULA kwani wote ni mashahidi alisimama na kweli hata kipindi kile tunapitishwa kwenye moto.

Msiba anastahili kulipa gharama za uovu wake Ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake. Kama ni msamaha huuombwa na mtu mwenyewe aliyekosa kwanza. Yule jeuri na mwehu hakuwahi kuomba msamaha licha ya nafasi aliyopewa.

Kila mmoja ataubeba msalaba wake mwacheni Msiba aubebe Msiba wake. Pengo na Malasusa acheni unafiki huu utaliangamiza taifa. Huyu kichaa SI wa kusamehewa hata kidogo.Au Hawa watumishi ni chawa wa Msiba?

Membe shikilia hapo hapo na mnada wa Mali zake za wizi urushwe live TBC taifa Kila mtanzania aone jinsi mshahara wa dhambi ulivyo mauti. Kwani wale waliomuunga mkono wako wapi Leo?
Nimesema siku zote kuwa hatuna viongozi wa dini bali wajailia dini. Bladfaken bastard kama walinyamaza wakati uovu unatendeka, basi wanyamaze wakati uovu unakemewa.
 
We Una akili timamu kweli, Dini kazi yake ni Amani, kazi ya kiongozi wa dini ni kusuruhisha whatever the case, ujinga umekujaa
we ndiyo akili yako imeyumba, ameeleza vizuri sana kuwa walikuwa wapi wakati anadhalilisha wenzake? Km ni amani, ndiyo wanaona leo? Pengo yuko upande wa Musiba na Magufuli, alikuwa anafurahia Musiba alipokuwa anatumika kudhalilisha wazee waliotumikia nchi hii kumfurahisha Magufuli akifikiri Magufuli ni Mungu hatakufa. Viongozi wa dini wamejisahau nao wanaangalia maslahi yao
 
Watanzania wengi ni WAPUMBAVU sana, ripoti ya C.A.G haijafanyiwa kazi. Gharama za maisha zimepanda sana kwa wananchi wa kawaida walio wengi na ufisadi kila sehemu. Wanasiasa wamewageuza wananchi mazuzu wanawachezesha gwaride wanavyotaka na JF yote kwenye siasa mnajadili watu wawili Membe na Misiba, mna akili kweli!?!?.., hakuna mambo ya msingi ya kujadili zaidi ya Membe na Musiba!?
we si uandikie hayo mambo ya maana tujadili? We ni zuzu kweli.
 
Back
Top Bottom