The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Katika siku ya kumbukumbu ya maka mmoja toka Papa Benedict afeariki, Kardinali Gerhard Mueller wa Ujerumani amesema Papa Benedict asingethubutu kutoa maelekezo yasiyo na kichwa wala miguu ya kubariki mashoga.
Kardinali Mueller amewahi kua mkuu ama mwenyekiti wa kanisa katoliki Ujerumani.
Mueller anamtuhumu Francis kwa kutoa waraka usio na kichwa wala miguu na ana nia ya kuligawa kanisa kwa matamko yake yasiyo na kichwa wala miguu.
View: https://twitter.com/FoxNews/status/1741529809543422239?s=19
Kardinali Mueller amewahi kua mkuu ama mwenyekiti wa kanisa katoliki Ujerumani.
Mueller anamtuhumu Francis kwa kutoa waraka usio na kichwa wala miguu na ana nia ya kuligawa kanisa kwa matamko yake yasiyo na kichwa wala miguu.
View: https://twitter.com/FoxNews/status/1741529809543422239?s=19