Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza mabadiliko katika karatasi ya kupigia kura .
Wananchi watakaopiga kura watapaswa kuweka alama ya vema kulia kwa mgombea wa chama anachokusudia kukichagua badala ya chini ya picha ya mgombea.
Kwa habari zaidi soma HabariLeo.
My take: Kwa nini kuingia gharama za kubadilisha karatasi za kupigia kura kwa kubadili tu sehemu ya kuweka alama ya vema kulia badala ya chini ya picha ya mgombea? Au mnielimishe wandugu hii itasaidia au kupunguza au kuongeza nini kwenye upigaji kura?
Wananchi watakaopiga kura watapaswa kuweka alama ya vema kulia kwa mgombea wa chama anachokusudia kukichagua badala ya chini ya picha ya mgombea.
Kwa habari zaidi soma HabariLeo.
My take: Kwa nini kuingia gharama za kubadilisha karatasi za kupigia kura kwa kubadili tu sehemu ya kuweka alama ya vema kulia badala ya chini ya picha ya mgombea? Au mnielimishe wandugu hii itasaidia au kupunguza au kuongeza nini kwenye upigaji kura?