Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,026
- 144,382
Majaabu yanaendeleaKwa anaefahamu,naomba atujuze kwani teyari mitandaoni watu wameanza kusema yao.
Halafu hivi JAMANA PRINTERS ndio kina nani hasa?
CC: CHADEMA
Zitachapishwa nchini.Kwa anaefahamu,naomba atujuze kwani teyari mitandaoni watu wameanza kusema yao.
Halafu hivi JAMANA PRINTERS ndio kina nani hasa?
CC: CHADEMA
Unajua ni kwanini hata CHADEMA leo wamehoji?Zitachapishwa nchini.
Una swali lingine?
Ni mmoja ya washitakiwa katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mh. Tundu Lissu,pamoja na Mhariri wa Gazeti la Mawio, Simon Mkina na Jabir Idrisa. Pengine hii tender wamekuwa awarded kwa makubaliano ya kazi pasipo malipo in exchange ya wao kufutiwa mashtaka. Kwani uhusika wao katika kesi ni kwa wao kuchapisha hilo gazeti la Mawio lililomnukuu T.L akitoa matamshi yaliyo onekana kuwa ya kiuchochezi.Kwa anaefahamu,naomba atujuze kwani teyari mitandaoni watu wameanza kusema yao.
Halafu hivi JAMANA PRINTERS ndio kina nani hasa?
CC: CHADEMA
Kwani kuna ulazima gani kuchapa nje ya nchi bwashee?!Unajua ni kwanini hata CHADEMA leo wamehoji?
Kuna hoja hapa ya kutafakari!Ni mmoja ya washitakiwa katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mh. Tundu Lissu,pamoja na Mhariri wa Gazeti la Mawio, Simon Mkina na Jabir Idrisa. Pengine hii tender wamekuwa awarded kwa makubaliano ya kazi pasipo malipo in exchange ya wao kufutiwa mashtaka. Kwani uhusika wao katika kesi ni kwa wao kuchapisha hilo gazeti la Mawio lililomnukuu T.L akitoa matamshi yaliyo onekana kuwa ya kiuchochezi.
Kwanini hawakutangaza tender?Kwani kuna ulazima gani kuchapa nje ya nchi bwashee?!
Wasingetangaza Mnyika angezijuaje hizo kampuni mbili alizozitaja leo?Kwanini hawakutangaza tender?
Nani kakwambia kuna siri chini ya jua?Wasingetangaza Mnyika angezijuaje hizo kampuni mbili alizozitaja leo?
Siri gani kwenye sheria ya manunuzi?Nani kakwambia kuna siri chini ya jua?
Tenda mtangaze ubabe sio mzuriMtahoji sana!
Na mwaka huu mtaambiwa muende na pen zenu kama 2015 ilivyokuwa!
Yani mnataka kuipangia serikali hadi sehemu ya kuchapisha karatasi?
TISS ni kampuniWasingetangaza Mnyika angezijuaje hizo kampuni mbili alizozitaja leo?