Wazee weekend imeanza SLOW DOWN...
Mh!
Amaa kweli!
Wasafishwe mara ngapi wakati KIKWETE M/KITI wao keshasema wao ni safi NA BUNGE LA JAMUHURI KURIDHIA HAYO?
Naona ngoma nzito!
Waitwe huko Bungeni mara baada ya kupewa mdhamana na MWEMA!
HAWA WATU BANA!
WANTAKA KUTUCHOSHA AKILI ILI TUKATE TAMAA!
Mzee weekend uko dunia gani?
Mbona heading haiendani na kinacho jadiliwa humu? Im lost!
Mbona heading haiendani na kinacho jadiliwa humu? Im lost!