Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Neno vigonela (uwingi) au kigonela (umoja) ni la lugha ya Kihehe na maana yake (jinsi nilivyolielewa mimi) ni kukosa mahitaji fulani kwa muda mrefu..................................
Baada ya msamiati tajwa kupewa maana zaidi katika lugha ya kiswahili kwa maana ya kuazimwa.......................na sasa hufahamika kuwa ni kiu ya muda mrefu ya kutaka kujaamiana..........................
Wewe ulikwisha kuwa ni vigonela? Kama ni ndiyo ni kwa sababu zipi na ulichukua hatua zipi kukata kiu?
kama ni hapana ni kwa nini yawa hivyo hata ukatofautiana na mahitaji ya kimaumbile?
Furaha ya vigonela ni kutukumbusha ya kuwa tunahitaji tuwe pamoja na jinsia iliyotofauti na tuliyonayo....................na kero ya vigonela ni kuwa kiu yake ni kali haina masihara...............na hutuacha waathirika na maumivu makali yanayodai kutulizwa siyo na punyeto bali "mguso" na jinsia tofauti na yetu.........
Baada ya msamiati tajwa kupewa maana zaidi katika lugha ya kiswahili kwa maana ya kuazimwa.......................na sasa hufahamika kuwa ni kiu ya muda mrefu ya kutaka kujaamiana..........................
Wewe ulikwisha kuwa ni vigonela? Kama ni ndiyo ni kwa sababu zipi na ulichukua hatua zipi kukata kiu?
kama ni hapana ni kwa nini yawa hivyo hata ukatofautiana na mahitaji ya kimaumbile?
Furaha ya vigonela ni kutukumbusha ya kuwa tunahitaji tuwe pamoja na jinsia iliyotofauti na tuliyonayo....................na kero ya vigonela ni kuwa kiu yake ni kali haina masihara...............na hutuacha waathirika na maumivu makali yanayodai kutulizwa siyo na punyeto bali "mguso" na jinsia tofauti na yetu.........