Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,636
- 28,645
Wala hatachukuliwa hatua yoyote kwa sababu ya kimfumo wa ccm. Si mmeona Wasira kapiga mtu lakini wako kimyaaaaa! Mwaka huu kujikomboa ni kuipiga chini ccm tu
Hiyo ya Wasira ilinipita...
Wala hatachukuliwa hatua yoyote kwa sababu ya kimfumo wa ccm. Si mmeona Wasira kapiga mtu lakini wako kimyaaaaa! Mwaka huu kujikomboa ni kuipiga chini ccm tu
Maskini mate wangu. RIP Dr Chilongani.
But just has to be served!
Hizi habari zipo humu kwa zaidi ya lisaa limoja.. Ni vizuri sasa kama zingekuwa confirmed kama ni rumours au ni kweli.. Maana nilivyoona breakingi news hapa nikadhani mleta uzi amepata uhakika kumbe na huyu nae ameziokota mitandaoni..
Za uongo izo taarifa