Kanusho: Aliyepigwa na Ndugai afariki dunia!

Status
Not open for further replies.

Domy

JF-Expert Member
Dec 12, 2011
4,700
1,086
Habari wanabodi

Taarifa zinazoendelea kusambazwa na mitandao mbalimbali kutoka eneo la tukio ni kwamba Yule aliyepigwa na Job Ndugai mapema leo amefariki dunia!

Updates

Nimepata taarifa kutoka kwa mtu aliye eneo la tukio kaniambia Daktari amethibitisha! vile vile habari inaenea kwa kasi kupitia whatsup...

JF tunawaomba mfanye confirmation ili kujiridhisha!

================================

Update;
Katibu Msaidizi wa Wilaya ya Kongwa, Javan Masimami (CCM) ameiambia JamiiForums kuwa taarifa zinazoenezwa kuwa, Dr. Joseph Elieza Chilongani ambaye ni mmoja wa watangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Kongwa, kuwa amekufa ni za uongo kwani muda mchache tu uliopita mgonjwa huyo alishiriki chakula cha mchana vizuri.


"Muda wa mchana amekula chakula vizuri tu kwahiyo hizo taarifa zinazoenezwa juu ya kifo chake ni za uzushi dhidi ya ndugu yetu Joseph" alieleza Katibu huyo.


 
Uuuuwi kama ni kweli sheria ichukuwe mkondo wake. Huu ubabe wa ccm wanaupeleka hadi kny kura za maoni?
 
Sasa kama wenyewe kwawenyewe wanapigama je oktoba siwatatupiga risasi?poleni ccm safari hii mshafeli timing sasa mtapigwa tu
 
ama kweli kifo cha nyani miti yote huteleza, ccm dhambi zote mlizowafanyia watanzania mtaisoma namba, ukiua lazima nawe uuawe, anyongwe uyu ndugai
 
Kama ni kweli ni laana hiyo inawatafuna ccm .Kama kapeni tu za ndani kwenye chama chao hadi wanapigana na kuua itakuwaje kwa wapinzani nje ya chama?Wanaroho ngumu kama ya shetani.Siasa zao ndo za kujiona wao wanastahili kuwa wabunge wengine wakijitokeza wanakuwa ni adui hatuwezi kuikubali na watanzania tuikataeni October 25 ccm isiendelee kutuoa uhai wa ndugu zetu
 
Mwisho wa Ndugai ni kutoka kuwa msaidizi wa Spika Bungeni na kuwa msaidizi wa mnyapaa gerezani..i!!
Na sio yeye tu.. tayali Wassira,Lugoba nk….Hata kama sasa hivi hawatafikishwa mahakamani tunzeni huo ushahidi kusudi baada ya uchaguzi wa oktoba tutawashughurikia hawa magamba
 
Wala hatachukuliwa hatua yoyote kwa sababu ya kimfumo wa ccm. Si mmeona Wasira kapiga mtu lakini wako kimyaaaaa! Mwaka huu kujikomboa ni kuipiga chini ccm tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom