Siku hizi wanacheza PSWatoto wa siku hizi hakuna mambo hayo zamani chandimu ilikuwa chandimu kweli haswa mitaa ya Yombo ilikuwa kama vita mitaa kwa mitaa ikikutana .
Siku hizi wanacheza PSWatoto wa siku hizi hakuna mambo hayo zamani chandimu ilikuwa chandimu kweli haswa mitaa ya Yombo ilikuwa kama vita mitaa kwa mitaa ikikutana .
Mpira ukitoka, atakayeuwahi ndiye anarusha. Na anarusha na mkono mmoja kama analenga njiwa kwa jiwe kuua.Ikipiga mpira kuelekea langoni ukazidi kimo cha kipa basi goal
Unakuwa mpira wa juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Kali kulikoUnaweza piga chenga umemtoka mpaka golikipa unafika golini unakut goli halipo mwenye malapa yake kaitwa kwao.
Sijui ni kwa nini wazazi wa kiafrika walikuwa makatili sana kwa watoto wanapocheza. Hata siku hizi bado kuna wengi tu wanakaripia au kuwachapa watoto wanapocheza. Nakumbuka kijijini kulikuwa na watoto wa jirani walikuwa wanachota maji wanamwaga kwenye kilima, kunakuwa na uteleza halafu wanakaa kwenye makarai na kuteleza kwa kwenda chini. Basi walikuwa wanapigwa sana ili wasifanye huo mchezo japo walikuwa hawaachi. Aisee nilikuja kushangaa nilipoenda Ulaya nikakuta watoto wanateleza kwenye sehemu yenye kilima cha barafu kwa kutumia makarai huku wazazi wao wako nao kuwasaidia. Wazungu huwa wanaacha watoto wao wanacheza mchezo, mingine ya hatari lakini huku kwetu wazazi wanakataza.Nakumbuka kuna siku "gozi" letu kuna mchizi alipiga shuti mpira ukaenda dondokea kwenye nyumba ya mzee katili.
Wazee wetu walikua makax kichizi. Akaenda mjukuu wa mzee kuomba mpira, mzee akakaza ikabidi twende timu nzima ila jamaa aliepiga shuti alikimbia.
Kufika kule mzee akaagiza kisu, akauchana mpira katikati aisee, gozi letu jipya mzee akalitusua. Tuliumia mwisho tukaishia kucheka tu.
Uzuri huyo mjukuu wake ndo alikua mfuma mipira, kesho tu rambo kibao zishatafutwa pira jipya likasukwa.
Waafrika tumelelewa kikatili sanaSijui ni kwa nini wazazi wa kiafrika walikuwa makatili sana kwa watoto wanapocheza. Hata siku hizi bado kuna wengi tu wanakaripia au kuwachapa watoto wanapocheza. Nakumbuka kijijini kulikuwa na watoto wa jirani walikuwa wanachota maji wanamwaga kwenye kilima, kunakuwa na uteleza halafu wanakaa kwenye makarai na kuteleza kwa kwenda chini. Basi walikuwa wanapigwa sana ili wasifanye huo mchezo japo walikuwa hawaachi. Aisee nilikuja kushangaa nilipoenda Ulaya nikakuta watoto wanateleza kwenye sehemu yenye kilima cha barafu kwa kutumia makarai huku wazazi wao wako nao kuwasaidia. Wazungu huwa wanaacha watoto wao wanacheza mchezo, mingine ya hatari lakini huku kwetu wazazi wanakataza.
Mzazi anawaza ukivunjika, gharama za kukutibu ni zake ndio maana hataki ucheze na afya yako.Sijui ni kwa nini wazazi wa kiafrika walikuwa makatili sana kwa watoto wanapocheza. Hata siku hizi bado kuna wengi tu wanakaripia au kuwachapa watoto wanapocheza. Nakumbuka kijijini kulikuwa na watoto wa jirani walikuwa wanachota maji wanamwaga kwenye kilima, kunakuwa na uteleza halafu wanakaa kwenye makarai na kuteleza kwa kwenda chini. Basi walikuwa wanapigwa sana ili wasifanye huo mchezo japo walikuwa hawaachi. Aisee nilikuja kushangaa nilipoenda Ulaya nikakuta watoto wanateleza kwenye sehemu yenye kilima cha barafu kwa kutumia makarai huku wazazi wao wako nao kuwasaidia. Wazungu huwa wanaacha watoto wao wanacheza mchezo, mingine ya hatari lakini huku kwetu wazazi wanakataza.
Watoto wa siku hizi sijui kama michezo hii wanayo.Unaweza piga chenga umemtoka mpaka golikipa unafika golini unakut goli halipo mwenye malapa yake kaitwa kwao.
Watoto wa saiv wapo bize na mibuno ya ZUCHUWatoto wa siku hizi sijui kama michezo hii wanayo.
Hahaaaa nilikiwa bingwa wa kupiga chenga na kukipoga kiboli. Nikirudigi nyumbani mama huniuliziaga ule mpira uliishia wapi mwanangu.Unaweza piga chenga umemtoka mpaka golikipa unafika golini unakut goli halipo mwenye malapa yake kaitwa kwao.
Hairuhusiwi kucheza na viatu pia ikiwa mkubwa huchezi labda muwe wawili mmoja timu hii na mwingine timu hii..mwenye mpira ndo anaamuwa sabu zote hupaswi kumnyima pasi mwenye mpira hata kama kazungukwa na maaduwi.
Huruhusiwi kupiga mpira na dole gumba utafumua mpira1. Mtoto mnene daima alikuwa mlinda mlango.
2. Mmiliki wa mpira ndiye anayeamua na niacheza.
3. Kama hukushiriki kutengeneza mpira, huchezi mechi.
4.Mwenye mpira akikasirika, mchezo unakwisha.
5. Ukigonga vidole vyako kwenye jiwe na damu inatoka, unafunika eneo la jeraha kwa mchanga kama huduma ya kwanza na mchezo unaendelea.
6. Humpigi chenga sana mmiliki wa mpira, hii inaweza kumsababishia kuchukua mpira wake na kumaliza mchezo.
7. Hakuna kuotea.
8. Hakuna refa.
9. Kuna kosa tu ikiwa kosa ni kubwa.
10. Wachezaji bora wawili hawawezi kuwa kwenye timu moja, kila mtu anachagua wachezaji wake.
11. Mchezaji bora uwanjani daima yupo kwenye timu moja na mmiliki wa mpira.
12. Daima kuna nyumba ambapo mpira ukidondoka huko, tulijua mchezo umemalizika. Hivyo lazima mjilinde usiende huko mpira!
13. Kutofautisha timu, moja ya timu inavua mashati yao.
14. Mchezo unamalizika wakati wa giza na hatuoni mpira vizuri, tunatawanyika katika makundi tukichekeshana hadi tunapofikaView attachment 2858131
Sent using Jamii Forums mobile app