NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Jana katika kipindi cha je tutafika channel ten kinachoongozwa na Makwaiya
Nimevutiwa sana na hoja za huyu kijana Sabato akiwa na makada Mzee Butiku na Kibamba
Ambaye aliieleza wazi mtazamo wa vijana wengi kisiasa na kiuchumi kuwa vijana wamekosa matumaini kabisa na wanafanya kazi kubwa ya kuhakikisha nchi inakuwa na mabadiliko.
Vijana wanaona kabisa kwamba nchi imepoteza dira.
Kijana aliweza kushawishi makada wa CCM waliokuwepo kwa wao pia kukubaliana na huyo kijana kuwa ni kweli viongozi wa ccm wanaenda kinyume na katiba ya ccm, na hii ndiyo imepelekea mmomonyoko wa maadili so ccm inatakiwa kujidefine upya ili kurudisha imani na matumaini kwa wanachama na wananchi kwa ujumla . Chama kimekuwa si cha wakulima na wafanyakazi tena kama kilivyokuwa hapo mwanzo.
Je wewe kama kijana unafanya nini kuikomboa hii nchi ungana na kina Sabato wanaongalia mabo kwa mapana na kumwaga hoja zenye kujenga .
Wao kijiwe chao sasa hivi wanasoma katiba na wanaangalia ni wapi nchi imedondokea kutoka azimio la Arusha.
Nimevutiwa sana na hoja za huyu kijana Sabato akiwa na makada Mzee Butiku na Kibamba
Ambaye aliieleza wazi mtazamo wa vijana wengi kisiasa na kiuchumi kuwa vijana wamekosa matumaini kabisa na wanafanya kazi kubwa ya kuhakikisha nchi inakuwa na mabadiliko.
Vijana wanaona kabisa kwamba nchi imepoteza dira.
Kijana aliweza kushawishi makada wa CCM waliokuwepo kwa wao pia kukubaliana na huyo kijana kuwa ni kweli viongozi wa ccm wanaenda kinyume na katiba ya ccm, na hii ndiyo imepelekea mmomonyoko wa maadili so ccm inatakiwa kujidefine upya ili kurudisha imani na matumaini kwa wanachama na wananchi kwa ujumla . Chama kimekuwa si cha wakulima na wafanyakazi tena kama kilivyokuwa hapo mwanzo.
Je wewe kama kijana unafanya nini kuikomboa hii nchi ungana na kina Sabato wanaongalia mabo kwa mapana na kumwaga hoja zenye kujenga .
Wao kijiwe chao sasa hivi wanasoma katiba na wanaangalia ni wapi nchi imedondokea kutoka azimio la Arusha.