Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
Mbona ni kanisa hilo hilo katoliki ndio lilituambia Kikwete ni chaguo la mungu! je wameshawahi kuwaomba radhi Watanzania kwa mateso wanayoyapata kutoka kwa chaguo la mungu?
ile ilikuwa ni kauli binafsi ya askofu kilaini na haukuwa msimamo wa kanisa, na alisema vile kwa kuwa kikwete kipindi kile alikuwa anakubalika sana. Hivyo basi kauli yake ikatokana na quote ya kibiblia kwa sauti ya wengi ni sauti ya mungu.