mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
Askofu Msaidizi wa Jimbo kuu la DSm (Askofu Nzigilwa) amesema kuwa "Kanisa Katoliki halijamualikwa Mh. E. Lowasa katika Harambee ya kuchangisha pesa kwa ajili ya sherehe za Uzinduzi wa Jimbo Katoliki la Ifakara kama ilivyoripotiwa hapo awali.
Askofu Nzigilwa aliyasema hayo alipokuwa akijibu shwali toka kwa mmoja wa viongozi wa Parokia walioshiriki katika kikao cha pamoja cha Tathimini ya Mavuno 2011, Msimbazi Centre DSM.
MY TAKE: TUNASHUKURU SANA KANISA KATOLIKI KWA KULIONA HILI na viongozi wa kanisa Katoliki kwa kupitia mada zetu hapa JF. Hongera pia kwa kiongozi aliyeuliza hilo swali kuhusu mwaliko wa Mh. E. L kanisani kwa moyo wako wa ushujaa.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Askofu Nzigilwa aliyasema hayo alipokuwa akijibu shwali toka kwa mmoja wa viongozi wa Parokia walioshiriki katika kikao cha pamoja cha Tathimini ya Mavuno 2011, Msimbazi Centre DSM.
MY TAKE: TUNASHUKURU SANA KANISA KATOLIKI KWA KULIONA HILI na viongozi wa kanisa Katoliki kwa kupitia mada zetu hapa JF. Hongera pia kwa kiongozi aliyeuliza hilo swali kuhusu mwaliko wa Mh. E. L kanisani kwa moyo wako wa ushujaa.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!