Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,208
- 85,318
Nilisha jeruhiwa vya kutosha na mwisho nilifikia sehem nikasema, sinto kubali kujeruhiwa tenaKwanini mkuu funguka kidogo basi
Nilisha jeruhiwa vya kutosha na mwisho nilifikia sehem nikasema, sinto kubali kujeruhiwa tenaKwanini mkuu funguka kidogo basi
Itakua kampata msimamia kucha, mwanaapolo anaezama mgodiniHata nafasi yakujibu haijatolewa yani kanuia mpaka naogopa
Mambo kama haya ndo yanayofanya vijana tuwe na wanawake wengi...pole sana mkuu,just be strong.
Itakua kampata msimamia kucha, mwanaapolo anaezama mgodini
Pengine kuna kitu Mungu anakuepusha vumilia tu kuna mazuri mbele yako.
sasa ndio wanimalizoia sio ?
Heri kakuambia kwa heshima hivyo.... Ungeanza kugongewa Vibaya mno, tena kwa kujionesha Kuwa anagongwa... Kwann ulazimishe asilolitaka... Nenda katafute demu kwa afya sio kwa kuwekeza utadhani atakupa dhahabu!
wanaume nao ndivyo walivyoTatizo lako ulipenda kupenda mahali usipopendwa
Songa mbele, Wanawake ndio walivyo. Ukiona mtu anakwambia aliwahi kuwa wanawake kumi, jua ndio kwa ajili ya hayo hayo yaliokukuta.
Huyo mtoto ni mrangi au?
Nilisha jeruhiwa vya kutosha na mwisho nilifikia sehem nikasema, sinto kubali kujeruhiwa tena
katika mahusiano kuna mengi, labda mlivyoanza mahusiano alitegemea uwe aina ya mwanaume anayemtaka sasa unakuta hawezi kukurekebisha maybe, amevumiliaaaa mambo flani labda yakimkera mwishowe ameamua kuachana nawe. kaa utulize akili ipo siku utaongea naye kama kaamua mwenyewe bila kukosana
tafta pesa iyo ndo Dawa pole
MUWA UNAKUFA NA UTAMU WAKE
MWANAMKE WA HIVYO ANANYOTA YA UKIMWI
BE I WAY WITH HER.
Sasa mkuu unafanyaje ili usiumizwe au ndo umeamua kuwa mtu wa kuhit na kurunNilisha jeruhiwa vya kutosha na mwisho nilifikia sehem nikasema, sinto kubali kujeruhiwa tena