Pole sana haya maisha ndivyo yalivyo mwenyewe nmekumbwa na majanga ya aina hyo wiki iliyopita nimelia sana nilishindwa hata nimwambie nani mwanaume nilimpenda sana had kupitiliza lkn nashangaa kakumbwa na nn hpa nilipo had naumwa vidonda vya tumbo lkn siachi kumwomba mungu na kumshukuru kwa yote maana yawezekana mungu kaniepusha na kitu. Cha kukushauri kaa tuliza akili mwambie mungu asante kwa yote amin utapata mwingine ambaye mtapendana zaid na atakuwa na mapenzi ya dhati kwako