Kamwe hatutakusahau Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais mpendwa na Watanzania

tunalazimika

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
1,098
256
kwa waliofika UDOM, MUHIMBILI University Mpya iliyojengwa Kibamba Dsm, Nelson Mandela University , Maandalizi yaliyokamilika ya Ujenzi wa IFM Msata Pwani -enrollment kubwa kuwahi kutokea kwa Wanafunzi wa Elimu ni ushahidi wa Maendeleo Makubwa uliyoyasimamia kwenye ahadi zako za Uimarishaji wa Sekta ya Elimu. Achilia mbali Ujenzi wa Maabara kwenye shule zote za Sekondari nchini.

Marekebisho makubwa ya MUHIMBILI hospital kufikia uwezo wa kufanya Upasuaji wa Figo na Moyo, Ujenzi wa Hospiotal za Rufaa za Mikoa sehem zote nchini, na maboresho ya Miundombinu na vitendea kazi kwenye Sekta ya Afya ni vitu ambavyo kamwe hatutakusahau wale tunaofuatilia mambo kwa kina.

Kamwe hatutakusahau kwa Uimarishaji wa Sekta ya Uchukuzi na Usafirishaji, Ujenzi wa Barabara kuu zote nchini kwa takriban mara tatu ya mtandao tuliokuwa nao tangu Uhuru na kuwezesha makao Makuu ya Mikoa yote kufikika kwa Lami ikiwa ni pamoja na Ujenzi wa madaraja makubwa kama lile la malagarasi Kigoma na Mtambaswala Mtwara na Uongezaji wa Ufanisi bandarini kwa kufanya kazi 24hrs kwa siku 7 kumelisababisha Taifa kuongeza mapato kwa kiwango kikubwa.

Ujenzi wa mradi mkubwa wa Maji kutoka ziwa Victoria kwenda Shinyanga, Kahama, Kwimba na sasa Uchambuzi yakinifu wa mradi mwingine utakaotoa maji ziwa Victoria eneo la Busega Mkoa wa Simiyu na kuyapeleka Wilaya zote za Mkoa wa Simiyu, Singida na hatimaye Dodoma ni kazi nyingine ambayo Watz hatuwez kukusahau. hali kadhalika upanuzi wa Bomba kutoka Ruvu Chini na Ruvu juu kwa ajili ya kuwahudumia wananchi wa Dar na Uchimbaji wa visima vikubwa Kigambon ni dhahiri utakuwa umekamilisha utatuz wa kero kwa miji iliyokuwa na adha hiyo.

Ujenzi wa bomba la gesi na Mpango wa Usambazaji wa umeme vijijini ni jambo jingine ambalo hakuna atakayeweza kufuta nyayo zako kwani ni dhahiri Ukuaji wa Uchumi kufika aslimia 7 utafikiwa kutoka na uwezo mkubwa uzalishaj utakaotokana na upatikanaji wa nishati hiyo muda wote na kwa bei nafuu. Tanzania itajaa mwanga na nderemo kwasababu yako na dhana ya maisha bora Watz watajua kwann uliwaahidi.

Upanuzi wa Uwanja wa ndege Dsm kwa kuwahamisha wananchi walioshindika katika zama zote na kuanza Ujenzi, Ujenzi wa Kiwanja kikubwa cha Songwe Mbeya, Kiwanja cha Kigoma na Mafia kamwe Watz wa maeneio hayo hatutakusahau n hakuna atakayeweza kufunga hata gidamu za viatu vyako.

Ujenzi wa Miundombinu kwenye Majiji, Manispaa, Miji na Makao Makuu ya Wilaya imepelekea Miji yetu yote kupendeza, ushahidi leo hii hata mitaa ya Tandale, Kwasokota, Kwa mama Zacharia, Komakoma achalia mitaa ya Kanyenye na Lufita Tabora na sehem mbalimbali nchini leo hii ina lami.

Maboresho makubwa ya Utumishi wa Umma kwa kuboresha mishahara, malipo ya stahiki mbalimbali na Ujenzi wa Maofisi sehemu mbalimbali, Uboreshaji wa Hifadhi ya Mifuko ya Jamii leo hii Kiinua mgongo cha maana siku hiyo hiyo ya kustaafu na mikopo ya nafuu kutoka Mfuko maalum wa Utumishi wa Umma ni ahadi yako iliyotekelezwa kikamilifu.

Uboreshaji wa Mifuko ya Jamii na Sekta binafsi katika Ujenzi wa Miji yetu ni jambo linaloshuhudiwa hata na vipofu na viziwi-Ujenzi wa nyumba nyingi na Maofisi makubwa yanayofanywa na Mifuko hiyo na NHC kwa kushirikiana na Sekta binafsi ni mambo yatakayokujengea heshima millele.

Uwazi kwenye Uendeshaji wa Serikali na kuhakikisha taarifa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali zinajadiliwa Bungeni na kupelekea mafisadi kubainika na kukumbwa na fagio la chuma kwa nyakati tofauti bila ya kujali mitandao na uswahiba , vinaonesha jinsi unavyoumizwa na ubadhilifu wa mali za Umma.

Umeongeza Uwezo wa Mihili ya Taifa hasa Bunge kwa kuwapa muda zaidi wa kutafakar masuala nyeti ya Taifa na kuwapa nguvu Kaamati za Bunge na kuweza kuibua uozo mbalimbali na kuwezesha utekelezaji wa maazimio yao-hakika JK utakumbukwa

Ndugu zangu natumia simu na hivyo mikono imechoka, tutaendelea next time (next episode) ya Kazi nzuri zilizofanywa na mh Jakaya Mrisho Kikwete-Rais pendwa na Watz wenye uwezo wa kuchambua mambo achilia wale wenye chuki zao binafs
 
Jumlisha hela za miradi yote hiyo halafu utoe hela zote zilizoliwa kwa ufisadi kuanzia EPA mpaka Escrow halafu uniambie kuna deficit ya shs ngapi na pia tungekuwa tumepiga hatua kiasii gani kama Taifa.
 
Hayo ni mawazo yako binafsi mleta mada ila kwa sasa si wakati wake,nitamkumbuka kwa kashfa kubwa kubwa kuwahi kutokea nchi hii, migomo ya wanafunzi na madaktari, na mwishowe kuisaidia mapambano ya kumng'oa mkoloni mweusi CCM .
 
Hujui ulisemalo. Tumechoka na ccm wewe kinganganizi kweli. Hatuwezi endelea namna hii. uko wapi nikupe kadi ya cdm hama uko haraka sana.
 
amekop matilion ya pesa benk ya dunia.na benk ya afrika..huko uchina ndo usiseme
hizo hela ukchunguza ni 30% tuu ndo zimetumika ipasavyo
amejenga barabara zszodumu hata mwaka.hosptalin hakuna madawa shulen maabara zmegeuzwa sehem ya gest kat ya wanafunz na walimu maana
hazfany kaz..

ameuza ges kwa bei ya sut

safar za nje zszo na manufa zngetosha kujenga lami kila kata
 
Ha ha ha! Nchi hii ilitakiwa kuwa level nyingine sio habari za shule za kata na kuongeza mabweni vyuoni. Utalii, usafiri wa anga, na bandari vilitakiwa kuiweka nchi hii level ya SA kuelekea S. Korea.

Nchi hii ilitakiwa kuwa among the leaders in dairy and leather products iki-export kwa fujo. Nchi hii ilitakiwa kuwa destination ya mataifa mbalimbali kuja kununua vito vya thamani. Nchi hii ilitakuwa ku-export umeme wa ziada ukanda huu.

Nchi hii ilitakiwa kuwa mbele sana katika bidhaa za nguo ikuza nje kwa fujo. Ilitegemewa nguo bora kabisa zitoke hapa. Usafiri wa reli nchi hii ulitakiwa kuwa bora kabisa na wa bei nafuu. Baada ya SA, Tanzania inafuatia kwa mtandao mrefu wa reli Afrika. Angalia reli ya Tanga inavyoliwa na udongo.

Nchi hiii, baada ya miaka 50 ya uhuru, sio ya kuzungumzia maabara shule za kata. Sio habari ya kuzungumzia ufaulu sijui umeshuka, sijui umepanda kidogo mwaka huu. Tulitakiwa kuzungumzia "high tech". Tulitakiwa kuona life expectancy inaelekea 80; wazee wakiishi kwa staha na sio kama Matonya enzi zake. Leo hii bado wanafunzi wanakalia mawe na kusomea chini ya miti? Dah, huu mfumo uondoke kwanza, mengine baadaye.
 
Sisi tutamlani kwa kuumpa upenyo Lowassa-mchana kweupe kaisaliti CCM na kuikabidhi nchi kwa upinzani
 
tutamkumbuka kwa kuacha ndugu zetu wakifa pale muhimbili na kwenda kuhani msiba wa msanii mwenzake kanumba
 
kwa waliofika UDOM, MUHIMBILI University Mpya iliyojengwa Kibamba Dsm, Nelson Mandela University , Maandalizi yaliyokamilika ya Ujenzi wa IFM Msata Pwani -enrollment kubwa kuwahi kutokea kwa Wanafunzi wa Elimu ni ushahidi wa Maendeleo Makubwa uliyoyasimamia kwenye ahadi zako za Uimarishaji wa Sekta ya Elimu. Achilia mbali Ujenzi wa Maabara kwenye shule zote za Sekondari nchini.

Marekebisho makubwa ya MUHIMBILI hospital kufikia uwezo wa kufanya Upasuaji wa Figo na Moyo, Ujenzi wa Hospiotal za Rufaa za Mikoa sehem zote nchini, na maboresho ya Miundombinu na vitendea kazi kwenye Sekta ya Afya ni vitu ambavyo kamwe hatutakusahau wale tunaofuatilia mambo kwa kina.

Kamwe hatutakusahau kwa Uimarishaji wa Sekta ya Uchukuzi na Usafirishaji, Ujenzi wa Barabara kuu zote nchini kwa takriban mara tatu ya mtandao tuliokuwa nao tangu Uhuru na kuwezesha makao Makuu ya Mikoa yote kufikika kwa Lami ikiwa ni pamoja na Ujenzi wa madaraja makubwa kama lile la malagarasi Kigoma na Mtambaswala Mtwara na Uongezaji wa Ufanisi bandarini kwa kufanya kazi 24hrs kwa siku 7 kumelisababisha Taifa kuongeza mapato kwa kiwango kikubwa.

Ujenzi wa mradi mkubwa wa Maji kutoka ziwa Victoria kwenda Shinyanga, Kahama, Kwimba na sasa Uchambuzi yakinifu wa mradi mwingine utakaotoa maji ziwa Victoria eneo la Busega Mkoa wa Simiyu na kuyapeleka Wilaya zote za Mkoa wa Simiyu, Singida na hatimaye Dodoma ni kazi nyingine ambayo Watz hatuwez kukusahau. hali kadhalika upanuzi wa Bomba kutoka Ruvu Chini na Ruvu juu kwa ajili ya kuwahudumia wananchi wa Dar na Uchimbaji wa visima vikubwa Kigambon ni dhahiri utakuwa umekamilisha utatuz wa kero kwa miji iliyokuwa na adha hiyo.

Ujenzi wa bomba la gesi na Mpango wa Usambazaji wa umeme vijijini ni jambo jingine ambalo hakuna atakayeweza kufuta nyayo zako kwani ni dhahiri Ukuaji wa Uchumi kufika aslimia 7 utafikiwa kutoka na uwezo mkubwa uzalishaj utakaotokana na upatikanaji wa nishati hiyo muda wote na kwa bei nafuu. Tanzania itajaa mwanga na nderemo kwasababu yako na dhana ya maisha bora Watz watajua kwann uliwaahidi.

Upanuzi wa Uwanja wa ndege Dsm kwa kuwahamisha wananchi walioshindika katika zama zote na kuanza Ujenzi, Ujenzi wa Kiwanja kikubwa cha Songwe Mbeya, Kiwanja cha Kigoma na Mafia kamwe Watz wa maeneio hayo hatutakusahau n hakuna atakayeweza kufunga hata gidamu za viatu vyako.

Ujenzi wa Miundombinu kwenye Majiji, Manispaa, Miji na Makao Makuu ya Wilaya imepelekea Miji yetu yote kupendeza, ushahidi leo hii hata mitaa ya Tandale, Kwasokota, Kwa mama Zacharia, Komakoma achalia mitaa ya Kanyenye na Lufita Tabora na sehem mbalimbali nchini leo hii ina lami.

Maboresho makubwa ya Utumishi wa Umma kwa kuboresha mishahara, malipo ya stahiki mbalimbali na Ujenzi wa Maofisi sehemu mbalimbali, Uboreshaji wa Hifadhi ya Mifuko ya Jamii leo hii Kiinua mgongo cha maana siku hiyo hiyo ya kustaafu na mikopo ya nafuu kutoka Mfuko maalum wa Utumishi wa Umma ni ahadi yako iliyotekelezwa kikamilifu.

Uboreshaji wa Mifuko ya Jamii na Sekta binafsi katika Ujenzi wa Miji yetu ni jambo linaloshuhudiwa hata na vipofu na viziwi-Ujenzi wa nyumba nyingi na Maofisi makubwa yanayofanywa na Mifuko hiyo na NHC kwa kushirikiana na Sekta binafsi ni mambo yatakayokujengea heshima millele.

Uwazi kwenye Uendeshaji wa Serikali na kuhakikisha taarifa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali zinajadiliwa Bungeni na kupelekea mafisadi kubainika na kukumbwa na fagio la chuma kwa nyakati tofauti bila ya kujali mitandao na uswahiba , vinaonesha jinsi unavyoumizwa na ubadhilifu wa mali za Umma.

Umeongeza Uwezo wa Mihili ya Taifa hasa Bunge kwa kuwapa muda zaidi wa kutafakar masuala nyeti ya Taifa na kuwapa nguvu Kaamati za Bunge na kuweza kuibua uozo mbalimbali na kuwezesha utekelezaji wa maazimio yao-hakika JK utakumbukwa

Ndugu zangu natumia simu na hivyo mikono imechoka, tutaendelea next time (next episode) ya Kazi nzuri zilizofanywa na mh Jakaya Mrisho Kikwete-Rais pendwa na Watz wenye uwezo wa kuchambua mambo achilia wale wenye chuki zao binafs

KATAVI na SIMIYU lami imeunganishwa na mkoa gani? Isitoshe. Magufuli anabifu. Na Ex-PM staking Barabara kwenye Mpanda??????????
 
kweli wewe mzigo... kwa hiyo umeshahu madeni tunayoachiwa na chama tawala??????????? wanafunzi wa kuja kusoma hizo vyuo wanasomea chini ya mti?

hospita;l gharama juu na pia hakuna dawa wala vifaa.. hiyo inatosha hudumia watu wa tanzania wote think big..... kajipange upya.

ccm mtatoka
 
kwa waliofika UDOM, MUHIMBILI University Mpya iliyojengwa Kibamba Dsm, Nelson Mandela University , Maandalizi yaliyokamilika ya Ujenzi wa IFM Msata Pwani -enrollment kubwa kuwahi kutokea kwa Wanafunzi wa Elimu ni ushahidi wa Maendeleo Makubwa uliyoyasimamia kwenye ahadi zako za Uimarishaji wa Sekta ya Elimu. Achilia mbali Ujenzi wa Maabara kwenye shule zote za Sekondari nchini.

Marekebisho makubwa ya MUHIMBILI hospital kufikia uwezo wa kufanya Upasuaji wa Figo na Moyo, Ujenzi wa Hospiotal za Rufaa za Mikoa sehem zote nchini, na maboresho ya Miundombinu na vitendea kazi kwenye Sekta ya Afya ni vitu ambavyo kamwe hatutakusahau wale tunaofuatilia mambo kwa kina.

Kamwe hatutakusahau kwa Uimarishaji wa Sekta ya Uchukuzi na Usafirishaji, Ujenzi wa Barabara kuu zote nchini kwa takriban mara tatu ya mtandao tuliokuwa nao tangu Uhuru na kuwezesha makao Makuu ya Mikoa yote kufikika kwa Lami ikiwa ni pamoja na Ujenzi wa madaraja makubwa kama lile la malagarasi Kigoma na Mtambaswala Mtwara na Uongezaji wa Ufanisi bandarini kwa kufanya kazi 24hrs kwa siku 7 kumelisababisha Taifa kuongeza mapato kwa kiwango kikubwa.

Ujenzi wa mradi mkubwa wa Maji kutoka ziwa Victoria kwenda Shinyanga, Kahama, Kwimba na sasa Uchambuzi yakinifu wa mradi mwingine utakaotoa maji ziwa Victoria eneo la Busega Mkoa wa Simiyu na kuyapeleka Wilaya zote za Mkoa wa Simiyu, Singida na hatimaye Dodoma ni kazi nyingine ambayo Watz hatuwez kukusahau. hali kadhalika upanuzi wa Bomba kutoka Ruvu Chini na Ruvu juu kwa ajili ya kuwahudumia wananchi wa Dar na Uchimbaji wa visima vikubwa Kigambon ni dhahiri utakuwa umekamilisha utatuz wa kero kwa miji iliyokuwa na adha hiyo.

Ujenzi wa bomba la gesi na Mpango wa Usambazaji wa umeme vijijini ni jambo jingine ambalo hakuna atakayeweza kufuta nyayo zako kwani ni dhahiri Ukuaji wa Uchumi kufika aslimia 7 utafikiwa kutoka na uwezo mkubwa uzalishaj utakaotokana na upatikanaji wa nishati hiyo muda wote na kwa bei nafuu. Tanzania itajaa mwanga na nderemo kwasababu yako na dhana ya maisha bora Watz watajua kwann uliwaahidi.

Upanuzi wa Uwanja wa ndege Dsm kwa kuwahamisha wananchi walioshindika katika zama zote na kuanza Ujenzi, Ujenzi wa Kiwanja kikubwa cha Songwe Mbeya, Kiwanja cha Kigoma na Mafia kamwe Watz wa maeneio hayo hatutakusahau n hakuna atakayeweza kufunga hata gidamu za viatu vyako.

Ujenzi wa Miundombinu kwenye Majiji, Manispaa, Miji na Makao Makuu ya Wilaya imepelekea Miji yetu yote kupendeza, ushahidi leo hii hata mitaa ya Tandale, Kwasokota, Kwa mama Zacharia, Komakoma achalia mitaa ya Kanyenye na Lufita Tabora na sehem mbalimbali nchini leo hii ina lami.

Maboresho makubwa ya Utumishi wa Umma kwa kuboresha mishahara, malipo ya stahiki mbalimbali na Ujenzi wa Maofisi sehemu mbalimbali, Uboreshaji wa Hifadhi ya Mifuko ya Jamii leo hii Kiinua mgongo cha maana siku hiyo hiyo ya kustaafu na mikopo ya nafuu kutoka Mfuko maalum wa Utumishi wa Umma ni ahadi yako iliyotekelezwa kikamilifu.

Uboreshaji wa Mifuko ya Jamii na Sekta binafsi katika Ujenzi wa Miji yetu ni jambo linaloshuhudiwa hata na vipofu na viziwi-Ujenzi wa nyumba nyingi na Maofisi makubwa yanayofanywa na Mifuko hiyo na NHC kwa kushirikiana na Sekta binafsi ni mambo yatakayokujengea heshima millele.

Uwazi kwenye Uendeshaji wa Serikali na kuhakikisha taarifa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali zinajadiliwa Bungeni na kupelekea mafisadi kubainika na kukumbwa na fagio la chuma kwa nyakati tofauti bila ya kujali mitandao na uswahiba , vinaonesha jinsi unavyoumizwa na ubadhilifu wa mali za Umma.

Umeongeza Uwezo wa Mihili ya Taifa hasa Bunge kwa kuwapa muda zaidi wa kutafakar masuala nyeti ya Taifa na kuwapa nguvu Kaamati za Bunge na kuweza kuibua uozo mbalimbali na kuwezesha utekelezaji wa maazimio yao-hakika JK utakumbukwa

Ndugu zangu natumia simu na hivyo mikono imechoka, tutaendelea next time (next episode) ya Kazi nzuri zilizofanywa na mh Jakaya Mrisho Kikwete-Rais pendwa na Watz wenye uwezo wa kuchambua mambo achilia wale wenye chuki zao binafs


na pia bila kusahau Silent,king road,gsm,fsm,silent ocean iliyoko china pamoja na home shopping.
 
Muambie wanavyuo waliosoma kwenye hvyo vyuona kulala kwenye hayo mabweni wanatafuta ajira mwaka wa saba hawajapata,kwa maoni wangu hayo mabweni hayana faida ni bora tufugie kuku
 
Back
Top Bottom