Kamundu Class 101: Benki ni kikwazo cha Maendeleo Tanzania. Je, tufanye nini kurekebisha?

Ngoja nielezee kwa kitalaamu kipengele cha tatu. kwenye mfumo wa kibepari na kampuni za binafsi pesa yeyote inayotumika kwa mikopo au ujenzi n.k imetoka kwa mwekezaji. Mwekezaji hivyo inategemea kupata faida kutoka kwenye pesa yake aliyotoa.Kwa kampuni zenye hisa wawekezaji ni wenye hisa. Hii hapa ni njia (formular wanayotumia wawekezaji)

Required Rate of Retun = Risk Free Rate + Risk Premium

Maana yake ni kwamba kama mwekezaji anataka 7% (Risk Premium) kwa mwaka na serikali inauza T-Bond zake asilimia 10% (Risk Free Rate) kwa mwaka basi Mwekezaji anahitaji asilimia 17% ili aweze kutoa mkopo. Kama serikali itaongeza T-Bond kutoka 10% mfano mpaka 15% basi mwekezaji atahitaji asilimia 22% ili aweze kuwekeza. Hii ni kwasababu huwezi kupata mwekezaji anayehitaji asilimia 15% maana anaweza kwenda kununua T-Bond ambazo hazina risk na kumvutia ni lazima utoe zaidi.

Nitakuwa naendelea kutoa somo polepole ili nisiache watu.
Short and precisely on point👍🏽
 
Nimetoa hii 2012 mwezi wa nane miaka zaidi ya saba ndiyo naona mawazo yangu yanaanza kufuatwa

1. Vitambulisho
 
2012 !

Naona badala ya kuongea siasa kila wakati tunaweza kuelimishana kwenye mammbo muhimu hapa.Hii topic nilishawahi kuituma.

Tanzania inakabiliwa na matatizo mengi ya uchumi. Moja la tatizo kubwa linalokwamisha sana maendeleo ni hakuna utaratibu mzuri wa bank kusaidia uchumi kama ulivyo kwenye nchi zenye uchumi mkubwa. Mikopo ni migumu kupata na riba ipo juu sana kiasi kwamba ni vigumu kwa wafanyabiashara wa kawaida kupata mikopo. Bank za Tanzania hazisaidii uchumi kama inavyotegemewa tena ukizingatia pesa karibu zote zimewekewa riba na bank kuu kwa kupitia serikali. Serikali na Bank kuu zinatakiwa kufanya yafuatayo

1. Vitambulisho: Serikali inatakiwa kuwa na vitambulisho vya uhakika ili watoa mikopo wa wapokea mikopo wajuane. Hii vilevile itasaidia kujua historia za watu za mikopo.
2. Historia ya mikopo au (Credit Rating System): Serikali bank kuu na wizara husika zinatakiwa ziweke utaratibu wa kuwa na hifathi (database) ambayo inaonyesha historia za watu kuchukua na kulipa mikopo.
3.Riba za T-Bills/T-Bond za serikali ziwe chini: Serikali inachukua pesa kwa wananchi na mashirika kwa njia hizi mbili. Serikali ikichukua hii mikopo inatoa vitu viwili muhimu (a) muda wa kuwalipa mikopo (b) riba ya mikopo. Riba ya hii mikopo ya serikali ambayo mara nyingi ni lazima ilipwe ni kubwa sana 7%-8% ukilinganisha na nchi nyingine ambazo zina 2%-5%. Hii ni muhimu sana kwani bank ikitoa mikopo inatoa kutokana na riba hizi. Riba za bank ni lazima ziwe juu kuliko za serikali hivyo kama riba zao ni 5% na serikali ni 7% wanakupa riba ya 12%. Hii ni kwasababu watu ambao wanatoa pesa za mikopo ya bank hawawezi kuwekeza kwenye mikopo ya bank wakati mikopo ya serikali inauhakika wa kulipwa (Risk Fee rate). Kwa bank kupata wawekezaji ni lazima waweke kiwango cha juu zaidi.
 
Naona badala ya kuongea siasa kila wakati tunaweza kuelimishana kwenye mammbo muhimu hapa.Hii topic nilishawahi kuituma.

Tanzania inakabiliwa na matatizo mengi ya uchumi. Moja la tatizo kubwa linalokwamisha sana maendeleo ni hakuna utaratibu mzuri wa bank kusaidia uchumi kama ulivyo kwenye nchi zenye uchumi mkubwa. Mikopo ni migumu kupata na riba ipo juu sana kiasi kwamba ni vigumu kwa wafanyabiashara wa kawaida kupata mikopo. Bank za Tanzania hazisaidii uchumi kama inavyotegemewa tena ukizingatia pesa karibu zote zimewekewa riba na bank kuu kwa kupitia serikali. Serikali na Bank kuu zinatakiwa kufanya yafuatayo

1. Vitambulisho: Serikali inatakiwa kuwa na vitambulisho vya uhakika ili watoa mikopo wa wapokea mikopo wajuane. Hii vilevile itasaidia kujua historia za watu za mikopo.
2. Historia ya mikopo au (Credit Rating System): Serikali bank kuu na wizara husika zinatakiwa ziweke utaratibu wa kuwa na hifathi (database) ambayo inaonyesha historia za watu kuchukua na kulipa mikopo.
3.Riba za T-Bills/T-Bond za serikali ziwe chini: Serikali inachukua pesa kwa wananchi na mashirika kwa njia hizi mbili. Serikali ikichukua hii mikopo inatoa vitu viwili muhimu (a) muda wa kuwalipa mikopo (b) riba ya mikopo. Riba ya hii mikopo ya serikali ambayo mara nyingi ni lazima ilipwe ni kubwa sana 7%-8% ukilinganisha na nchi nyingine ambazo zina 2%-5%. Hii ni muhimu sana kwani bank ikitoa mikopo inatoa kutokana na riba hizi. Riba za bank ni lazima ziwe juu kuliko za serikali hivyo kama riba zao ni 5% na serikali ni 7% wanakupa riba ya 12%. Hii ni kwasababu watu ambao wanatoa pesa za mikopo ya bank hawawezi kuwekeza kwenye mikopo ya bank wakati mikopo ya serikali inauhakika wa kulipwa (Risk Fee rate). Kwa bank kupata wawekezaji ni lazima waweke kiwango cha juu zaidi.

Naona imechukuwa miaka 9 Bank kuu kuanza kufuata mawazo yangu tangu 2012! wakati ule hata vitambulisho vya taifa havikuwepo!
 
Naona badala ya kuongea siasa kila wakati tunaweza kuelimishana kwenye mammbo muhimu hapa.Hii topic nilishawahi kuituma.

Tanzania inakabiliwa na matatizo mengi ya uchumi. Moja la tatizo kubwa linalokwamisha sana maendeleo ni hakuna utaratibu mzuri wa bank kusaidia uchumi kama ulivyo kwenye nchi zenye uchumi mkubwa. Mikopo ni migumu kupata na riba ipo juu sana kiasi kwamba ni vigumu kwa wafanyabiashara wa kawaida kupata mikopo. Bank za Tanzania hazisaidii uchumi kama inavyotegemewa tena ukizingatia pesa karibu zote zimewekewa riba na bank kuu kwa kupitia serikali. Serikali na Bank kuu zinatakiwa kufanya yafuatayo

1. Vitambulisho: Serikali inatakiwa kuwa na vitambulisho vya uhakika ili watoa mikopo wa wapokea mikopo wajuane. Hii vilevile itasaidia kujua historia za watu za mikopo.
2. Historia ya mikopo au (Credit Rating System): Serikali bank kuu na wizara husika zinatakiwa ziweke utaratibu wa kuwa na hifathi (database) ambayo inaonyesha historia za watu kuchukua na kulipa mikopo.
3.Riba za T-Bills/T-Bond za serikali ziwe chini: Serikali inachukua pesa kwa wananchi na mashirika kwa njia hizi mbili. Serikali ikichukua hii mikopo inatoa vitu viwili muhimu (a) muda wa kuwalipa mikopo (b) riba ya mikopo. Riba ya hii mikopo ya serikali ambayo mara nyingi ni lazima ilipwe ni kubwa sana 7%-8% ukilinganisha na nchi nyingine ambazo zina 2%-5%. Hii ni muhimu sana kwani bank ikitoa mikopo inatoa kutokana na riba hizi. Riba za bank ni lazima ziwe juu kuliko za serikali hivyo kama riba zao ni 5% na serikali ni 7% wanakupa riba ya 12%. Hii ni kwasababu watu ambao wanatoa pesa za mikopo ya bank hawawezi kuwekeza kwenye mikopo ya bank wakati mikopo ya serikali inauhakika wa kulipwa (Risk Fee rate). Kwa bank kupata wawekezaji ni lazima waweke kiwango cha juu zaidi.


Niliandika miaka 11 iliyopita

Pascal Mayalla , zitto junior
 
Kwa Uono na Ufikirifu Mifumo, hekima inafanyika kwetu kutangamanisha fikra za Jefferson na Hamilton; kwa kuwa Jefferson kama Mwalimu Nyerere, hawakupenda mifumo ya fedha na riba--mikopo na riba. Hamilton alitetea mifumo ya 'biashara' na 'fursa' na huku serikali ikijenga 'miundo mbinu' kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya watu. Sasa, vile vile kama ilivyokuwa kipindi cha Taifa Changa la Tanganyika, maarifa ya kutangamanisha fikra za Jefferson na Hamilton, wakati ule haukuwa sahihi kwa haya kupata kufunuliwa. Fedha ni rasilimali ya kuwezesha mawasiliano na mahusiano ya kibiashara. Kiuono na Ufikirifu mifumo, soko ni kutaniko la mnunuzi na muuzaji na biashara ni kuuziana na kununua. Biashara ni Utaasisi, ndiyo maana biashara ni mkataba kati ya pande mbili, za muuza na mnunuzi ambapo vigezo na masharti huzingatiwa. Pasipo vigezo na masharti hakuna biashara... Pasipo Taasisi imara za Biashara, jamii zinaweza kuingia kwenye adha lukuki za utaasisi wa biashara kama vile kutotimiza wajibu wa kimkataba na makubaliano, ukosefu wa uaminifu kati ya pande mbili, na kuingizana hasara. Hili kwa mfano ndilo linafanya ni kwa nini mahakama za kibiashara ni taasisi muhimu sana kwa nchi ya kibepari na tena inayotetea ubepari... Kutangamanisha fikra za Jefferson na Hamilton, kiuono na ufikirifu mifumo ni shughulika na vinasaba vya miundo ya biashara na mahusiano yake--'masoko' na 'vyombo biashara ama mtu'; viwili ambavyo kisheria kwa mfano, vinaweza kusimama kushtaki ama kushtakiwa...

Kwa uono na ufikirifu mifumo, tunaweza kushughulika na vitovu vya 'nguvu za kifedha' ili kusanisi 'Mpangiko Templeti Halisia kwa Vyombo vya Kibiashara'. Hili ndilo linaweza kutengeneza mwongozo ilivyo ni Sera ya Taifa ya Fedha, katika sura mpya--sura inayoakisi jamii inayojua ilivyobora na kujichagulia mustakabli wa ustaarabu, ustawi na maendeleo yake. Leo hii kwa mfano, tunachombo kikuu cha fedha kilicho ni Benki Kuu; je, uhusiano wa chombo hichi na wadau wa biashara na maendeleo yakoje? Je, Uhusiano wa chombo hichi na Vyombo vingine vya hadhi na tabia kama zake--kungine duniani ukoje? Je, Uhuru wa Chombo hichi, ndani na nje nchi, ukoje? Kwa fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo, inakuwadhahiri hakuna chombo cha hadhi na daraja hili chenye 'uhuru kamili'; hata iwe kwa kudai Benki Kuu ni chombo cha serikali sovereini, ipo namna rahisi ya kubaini jambo hili haliwezekaniki kwa >'Uchumi Mauti'< na Utaasisi wa ELIMU 1.0. Uhuru wa vyombo vyote vya namna hii duniani ni mteja kwa kimoja abitrari, mazingira ya uchumi na nguvu za kibiashara hugeuza vyombo hivi kuwa 'kiranja' chini ya 'kiranja mkuu mwingine' kiutendaji... Seti moja ya topolojia ya ufikirifu ni kama vile ilivyo kwa 'Nishi ya kiumbe' katika ikolojia--kila kiumbe 'hula urefu wa kamba yake', kutawala eneo lake, lakini mnyama wa mawindo anaweza kustawi hata na 'viumbe vipofu' na akaishi kwa mikakati ya kujificha--nishi ndani ya nishi.

Kwa Uono na Ufikirifu Mifumo, tunaweza baini ni namna gani 'Thamani ya Pesa' katika mfumo hufungamana na vitovu gravitali vya 'mitaji na hitadhi' za fedha. Shughuli ambayo hutaka mtaji mzito itaathiri sekta zote za uchumi na basi siyo kuweza kuwa nguzo ya tawala za nguvu ya uchumi. Uchimbaji wa Madini na Upatikanaji wa metali za thamani, daima umekuwa kitovu cha uchumi wa fedha, kufanya fedha za mwanzo kuwa ni sarafu zenye thamani ya metali zenyewe... Uzito wa shughuli kwa 'wakati' na 'gharama' za uendeshaji hutengeneza nguzo za hazina na uwekezaji wa muda mrefu. Mashariki ya Kati kwa mfano, Shekeli ilikuwa ikifungamana na kiasi cha Mavuno ya Shayiri kimabadilishano ya jamii. Utaasisi wa kifedha wowote kiuchumi, wenye umuhimu wa kimahitaji ya jamii--iwe mahitaji halisi ama 'yakutengeneza' unaweza kutumika kudhibiti mienendo ya muktadha wa 'sarafu'. Vivyo hivyo kuratibu uchumi, kisarafu, kadiri vile >'mzuto na impalsi'< vinaweza kutathminiwa katika fizikia ya kawaida, japo kwenye uchumi mauti wa leo, analojia ya mzunguko wa fedha hukadirishwa kwa milinganyo ya >mwendokasi fedha<. Kwa topolojia ufikirifu ya mzunguko ya sarafu katika mfumo wa uchumi, mzunguko wa fedha siyo kigezo cha wanajamii kufikia mahitaji yao kiutoshelezaji bali 'uchangamfu' wa biashara na mabadilishano katika uchumi. Ikiwa labda wanajamii ndiyo 'wafanyabiashara' wa moja kwa moja kujinasibu mitaji na faida basi kuna uhusiano wa moja kwa moja wa 'uchangamfu' wa biashara na kuchangamka kwa mapato halisi ya wanajamii. Lakini katika ulimwengu wa ubepari na vyombo vya kibiashara, wanajamii wengi wanaweza wasiwe ni wanufaika wa mikondo mipana ya fedha ama vivyo hivyo hii isiwe na lolote kuhusiana na hali za wanajamii kuwa 'njema ama mbaya'. Kwa hivyo, Benki Kuu huratibu sarafu--pesa fiati, 'kwa nyota ya jamii' ya ELIMU 1.0 ambapo konstrakti za jamii juu ya fedha ni hiari hata kama kuna utumwa katika ubunifu wote wa mfumo wa fedha... Mtego wa Noti...

Kwa Uono na Ufikirifu Mifumo, ni rahisi kubaini ni namna gani ubunifu wa pesa fiati, huharibu sura ya thamani ya 'kazi, wakati, na hazina', si kwa ubaya hasa ila kukidhi sura na mienendo ya sarafu katika uchumi --kukidhi uhitaji wa sarafu katika Biashara za Jamii. Kazi hii huhitaji 'utundu', 'akili kubwa' na 'umahiri', kwa kuwa makosa katika sanaa hii-- gharama yake huwa ni kubwa. Hapa hapa ndipo, suluhu ya mvutano wa Jefferson na Hamilton ndipo inavyoweza kupatikana... Ikiwa jamii itajisahihisha na ushamba na konstrakti za fedha, itakafuta maarifa sahihi ya kuthaminisha 'kazi, wakati na hazina' tunaweza kubadilisha Sura na Majukumu ya Benki Kuu, na kuzifanya hizi namna tofauti ya Taasisi kwa mifumo ya fedha. Uchumi unaotumia pesa fiati, ni mushkeli lakini kwa ELIMU 2.0, uwezekano upo wa kubuni vinasaba vya miundo mikuu ya kiuchumi ili kuhakikisha mtu, chombo cha shughuli, wakati na hazina kufungamana. Kwa Ufunguo na Ufunuo ujao na ELIMU 3.0, hili linawezekana kwa Ontolojia ya Utatu wa Utaasisi fedha ilivyo ni Benki Kuu, Benki Hifadhi na Benki Msingi. Muktadha huu hufanya pembe tatu ya Baba, Mama na Mtoto, kadiri vile Utaasisi wowote wenye kufaa kheri na ustawi wa kaya hauna budi kuwa na asili ya utatu na vivyo hivyo utatu ndiyo namna ya asili ya kubaini 'uweza, nguvu na utukufu' katika 'muda' ama hata 'milele'. Hili kufanya kwa nini wanasayansi ki-empirikali na mbinu za visomo 1.0 hufikiri hata maada huundwa kwa tonadari yenye protoni, nyutroni na elektroni. Pia kwamba mifumo yote ya miundo, uso na jiometria za gravitali kukadirika kwa >'ustabali, utostabali na unyutrali'<. Uthamani wa fedha katika shughuli na uwekezaji, hazibudi kusukwa kwa vinasaba vya ustabali, utostabali na unyutrali kama vile ulimwengu wote mzima huiishi pumzi ya uzima kwa mienendo isiyokoma na majira. Pembetatu inaufunguo wa siri za miundo na mienendo, na ndivyo hata fremu-kazi ya uono na ufikirifu mifumo ni ufraktali wa pembetatu...

ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo inatuletea mwangaza wa namna gani ya kutatua adha ya njia kuu za uchumi kushikiliwa na watu wachache. Kwa kuwa fedha, ikitazamwa kwa uono mifumo, yawa dhahiri ni namna gani ubepari wenye kuwa ni matunda ya mti wa 'uchumi mauti' mienendo yake huishia na mifumo fedha ambapo njia kuu za uchumi huwa mikononi mwa mabepari wachache ndani ya jamii. Hili kwa tololojia ufikirifu, ni rahisi tu kulibaini kwa analojia ya >'Kizimwi cha Maxwell'<; ambavyo ni mienendo ya mifumo yenye kujifungia nguvu ndani ya mfumo. Kwa hivyo ELIMU 3.0 inatupatia ufunguo wa kubuni Mifumo isiyojifungia nguvu ndani' bali mwili wa uchumi hai, uchumi mama kuwa ni uzima unaoishi kwa 'kupumua'... Kwa kuwa ELIMU 2.0; inaweza kukadirisha bluprinti ya 'pumzi' katika 'mifumo uchumi' na 'ustawi wa Jamii'.

Pumzi ndivyo namna Ulimwengu wote mzima 'hupitiliza' mauti... Kuvuta pumzi ndani, na kutoa pumzi nje ndiyo mhimili wa 'Uzima' ambavyo 'Wakati' huo ni 'msuluhishi' kwa 'Kifo na Mauti', 'Kutanuka na Kusinyaa', 'Kuja na Kwenda' n.k. Na basi Sonafi ya Kiumbe chochote ndiyo 'mbegu ya akili uhai' inayobeba 'siri za uzima wa kiumbe' na 'wakati'--kufanya msingi wa majira kwa ajili ya 'mapigo ya moyo' na 'pumzi'. Kwa uono na Ufikirifu mifumo, hili linaweza kusanisiwa kupitia Benki Kuu, Benki Hifadhi na Benki Msingi ambavyo fedha ni 'damu'--kile kinachobeba 'chumvi', 'maji', 'hewa' na 'joto la uhai' kwa ustawi wa viungo vilivyo ni jamii na shughuli zake zote za kila siku. Kila chombo cha biashara ama mtu, kwa usanisi wa 'Uchumi Hai' , thamani ya pesa inayomzungukia haina budi kuwa thamani za namna tatu ilivyo simulitali: pumzi ya siku hata siku, pumzi ya mapana ya 'chombo chake shirika' kwa 'kazi ama huduma' na 'unasaba mipangiko wakati'. Kama vile ilivyo kwa Mishipa ya damu: ateri, Vena na veini, ndivyo fanusi ya uchumi hainabudi kusanisiwa Kibenki.

Benki ya Hifadhi ni muktadha wa kushikilia marejesho ya vipato kimitaji ilivyo ni 'Hazina'; ambavyo, fedha hushikiliwa humo kwa vipindi maalum vinavyofungamana na 'marefu ya mipango ya biashara jamii'. Kila 'Biashara Jamii' haina budi kusanifiwa kwa marefu na mapana ambavyo vyombo vyote vya biashara vina muda kwa kuanza muda wa kuisha. 'Muda wa kuisha' kuwa ni 'mgawanyiko wa shughuli hiyo hiyo kuwa vyombo viwili katika mzunguko mpya. Kiuno na Ufikirifu Mifumo, utaratibu huu ndiyo unaodhibiti 'mfumuko' ama 'mfubaiko' wa bei katika uchumi mama. Fanusi ya Benki kuu ni kama 'ini' ambavyo damu zaidi inaweza kuingizwa kwenye mifumo fedha na hapo hapo 'uchujaji wa sumu' za kimifumo kifedha unatendaka. Kuna 'vyombo vya Kibiashara Jamii' vinazaliwa ama kufa wakati wote, Benki kuu inawajibu wa kuhakikisha 'sarafu mpya za fedha' zinaongozeka ama kuondolewa kwenye mifumo kadri ifaavyo.

Benki ya Msingi, ni muktadha wa mishipa midogo midogo... kuwa kwamba, kwa uono na ufikirifu mifumo sarafu ya fedha kiempirikali huwa na sifa za 'ukizio siku' na 'ukizio mafungu siku'. Fedha zenye kuhifadhiwa kwenye Benki hifadhi zina uthamani wa 'ukizio mafungu siku'. Fedha zinazowekwa kwenye Benki Msingi ni fedha zenye thamani ya 'ukizio siku'. Fedha zinawekwa kwenye Benki Msingi zinaweza kuwekwa na kutolewa wakati wowote kwa kuwa hizi ndiyo muktadha wa 'chachu' ya jamii. Fedha zinazowekwa katika Benki hifadhi, hizi hukaa huko 'muda maalum' na ndipo 'zitoke'. Hili, kiuono na ufikirifu mifumo ndilo latatua adha za uchumi wa leo ambavyo hazina na matoleo huwa ni agrigati ya utashi wa Benki katika kutunza amana na kukopesha mitaji. Katika 'Uchumi Mauti' benki za biashara ni sawa na jambazi linaloishi kwa akili... Jamii ikiwa na uono na Ufikirifu Mifumo, jambo liko wazi kabisa--kadiri ilivyo kwa >'Paradoksi ya Maxwell'<. Ikiwa 'mtu X' anakwenda 'Benki A' ya biashara ili kufanya biashara katika 'eneo O'; Benki itampatia pesa na kumtaka riba R. Ikitokea 'mtu Y' akaenda benki hiyo hiyo na kufanya maombi ya mkopo wa biashara--biashara ya kufanana na mtu X, tena eneo O, benki ikimpatia mkopo basi mtu Y na mtu X watashindana biashara katika 'soko moja', na hali, kuja kwa Y kumepunguza soko la X... Wawili hawa watapambana na hali zao na hali benki inatarajia riba R na riba R kutoka kwa wote wawili--wote wawili riba mara mbili na hali wigo wa soko ni lile lile? Sasa, katika taaluma ya benki haya hufichwa na kudanganywa kwa hisabati na milinganyo mingi ya ELIMU 1.0. Ipo namna rahisi tu -- kama ufikirifu wa Maxwell--paradaimu ya ubenki ya leo ni 'uwizi wa mchana kweupe', ni jamii yenyewe inachelewa kujua ilivyobora na kutafuta maarifa mbadala... Mtego wa Noti.
 
2012 !

Naona badala ya kuongea siasa kila wakati tunaweza kuelimishana kwenye mammbo muhimu hapa.Hii topic nilishawahi kuituma.

Tanzania inakabiliwa na matatizo mengi ya uchumi. Moja la tatizo kubwa linalokwamisha sana maendeleo ni hakuna utaratibu mzuri wa bank kusaidia uchumi kama ulivyo kwenye nchi zenye uchumi mkubwa. Mikopo ni migumu kupata na riba ipo juu sana kiasi kwamba ni vigumu kwa wafanyabiashara wa kawaida kupata mikopo. Bank za Tanzania hazisaidii uchumi kama inavyotegemewa tena ukizingatia pesa karibu zote zimewekewa riba na bank kuu kwa kupitia serikali. Serikali na Bank kuu zinatakiwa kufanya yafuatayo

1. Vitambulisho: Serikali inatakiwa kuwa na vitambulisho vya uhakika ili watoa mikopo wa wapokea mikopo wajuane. Hii vilevile itasaidia kujua historia za watu za mikopo.
2. Historia ya mikopo au (Credit Rating System): Serikali bank kuu na wizara husika zinatakiwa ziweke utaratibu wa kuwa na hifathi (database) ambayo inaonyesha historia za watu kuchukua na kulipa mikopo.
3.Riba za T-Bills/T-Bond za serikali ziwe chini: Serikali inachukua pesa kwa wananchi na mashirika kwa njia hizi mbili. Serikali ikichukua hii mikopo inatoa vitu viwili muhimu (a) muda wa kuwalipa mikopo (b) riba ya mikopo. Riba ya hii mikopo ya serikali ambayo mara nyingi ni lazima ilipwe ni kubwa sana 7%-8% ukilinganisha na nchi nyingine ambazo zina 2%-5%. Hii ni muhimu sana kwani bank ikitoa mikopo inatoa kutokana na riba hizi. Riba za bank ni lazima ziwe juu kuliko za serikali hivyo kama riba zao ni 5% na serikali ni 7% wanakupa riba ya 12%. Hii ni kwasababu watu ambao wanatoa pesa za mikopo ya bank hawawezi kuwekeza kwenye mikopo ya bank wakati mikopo ya serikali inauhakika wa kulipwa (Risk Fee rate). Kwa bank kupata wawekezaji ni lazima waweke kiwango cha juu zaidi.
 

Attachments

  • 65B1F940-5A03-4C82-8121-F5A4C5298426.jpeg
    65B1F940-5A03-4C82-8121-F5A4C5298426.jpeg
    95.2 KB · Views: 1
  • E685B9FA-C895-4B11-8BB7-58C62BB34BCA.jpeg
    E685B9FA-C895-4B11-8BB7-58C62BB34BCA.jpeg
    55.4 KB · Views: 1
Anyway, labda lililo la msingi zaidi ni hilo namba 3 ingawaje hayo mengine si kwamba nayapuuza! hata hivyo, labda hicho kipengele namba 3 tukiweke katika lugha nyepesi na inayoeleweka manake naona ni kama maelezo yako yanachanganya kidogo!

Ni ukweli ulio wazi kwamba Treasury Bills/Bonds zinadumaza sana commercial loans hapa nchini. Kuwapo kwa riba kubwa itolewayo na serikali kunazifanya benki zisione umuhimu mkubwa wa ku-base kwenye commercial loans kwa kuwa tayari wanapata faida kubwa kupitia dhamana zitolewazo na serikali.

Mbaya zaidi, serikali inakopeshwa pesa ambazo ni zake yenyewe kwavile bado serikali ina mamilioni ya shilingi kwenye benki mbali mbali za biashara na hivyo, inapotokea kutangaza dhamana zake, benki inatumia pesa hizo hizo za serikali na kuikopesha serikali hiyo hiyo at higher interest rate. So, endapo serikali ingepunguza viwango vya riba inazotowa kwenye dhamana zake, then government bonds zingepunguwa kuwa attractive investments kwa commercial banks, as a results, commercial banks zingetafuta alternative way of earning interests....na hapo ndipo zingegeukia upande wa commercial loans!

In additional, miezi kadhaa iliyopita niliwahi kuandika kitu kinachohusiana na suala hili hili ka mabenk na mikopo! For more, niliongelea hapa: https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/198560-mabenki-na-mikopo-ya-biashara-kwa-graduates.html
Nchi inahitaji mageuzi kila kona
 
Naona badala ya kuongea siasa kila wakati tunaweza kuelimishana kwenye mammbo muhimu hapa.Hii topic nilishawahi kuituma.

Tanzania inakabiliwa na matatizo mengi ya uchumi. Moja la tatizo kubwa linalokwamisha sana maendeleo ni hakuna utaratibu mzuri wa bank kusaidia uchumi kama ulivyo kwenye nchi zenye uchumi mkubwa. Mikopo ni migumu kupata na riba ipo juu sana kiasi kwamba ni vigumu kwa wafanyabiashara wa kawaida kupata mikopo. Bank za Tanzania hazisaidii uchumi kama inavyotegemewa tena ukizingatia pesa karibu zote zimewekewa riba na bank kuu kwa kupitia serikali. Serikali na Bank kuu zinatakiwa kufanya yafuatayo

1. Vitambulisho: Serikali inatakiwa kuwa na vitambulisho vya uhakika ili watoa mikopo wa wapokea mikopo wajuane. Hii vilevile itasaidia kujua historia za watu za mikopo.
2. Historia ya mikopo au (Credit Rating System): Serikali bank kuu na wizara husika zinatakiwa ziweke utaratibu wa kuwa na hifathi (database) ambayo inaonyesha historia za watu kuchukua na kulipa mikopo.
3.Riba za T-Bills/T-Bond za serikali ziwe chini: Serikali inachukua pesa kwa wananchi na mashirika kwa njia hizi mbili. Serikali ikichukua hii mikopo inatoa vitu viwili muhimu (a) muda wa kuwalipa mikopo (b) riba ya mikopo. Riba ya hii mikopo ya serikali ambayo mara nyingi ni lazima ilipwe ni kubwa sana 7%-8% ukilinganisha na nchi nyingine ambazo zina 2%-5%. Hii ni muhimu sana kwani bank ikitoa mikopo inatoa kutokana na riba hizi. Riba za bank ni lazima ziwe juu kuliko za serikali hivyo kama riba zao ni 5% na serikali ni 7% wanakupa riba ya 12%. Hii ni kwasababu watu ambao wanatoa pesa za mikopo ya bank hawawezi kuwekeza kwenye mikopo ya bank wakati mikopo ya serikali inauhakika wa kulipwa (Risk Fee rate). Kwa bank kupata wawekezaji ni lazima waweke kiwango cha juu zaidi.


View: https://youtu.be/QqGEppkd1ZU?si=q-1kYGIcTubSniQa

U were ahead of time
 
Back
Top Bottom