wadau wote wa jamii forum nawsabahi, assalam aleykum jamia. Kwa mara ya kwanzaa ndani ya jf, namiksi sana na jk. Tutakutana kundini katika kuendeleza mawazo mshazari na yenye kutandawaa katika lile litakalo ongelewa. "uzoefu ni mkusanyiko wa kukosea kwingi kunakoendana na kujirekebisha usikosee tena"