Kamuacha mumewe kakimbilia kibabu muitaliano! Part 1...

Mwanamke hajapata uraia wa kule ni kwamba amestole way kwa kuextend muda wa visa, hawezi kuleta songombingo yeyote zaidi watamdemote na amuache mtoto kule kwani yule mtoto si mtanzania tena hata akiamua kufuata legal proceedings mtoto atapata shida sana.. Kumbuka baba wa mtoto alikuwa uwezo mdogo na akatukanwa iweje wewe umlaumu? Kweli wanaume tumeumbwa mateso! Ila sa hv nae anakula bata botswana maisha yamenoga ndo unataka amuache wake mkewe amrudie mwanamke wa kibongo mpenda wazungu? No way, muache muitaliano amchanue mpaka awe na shimo kama kisima.



Mi naona huyo mwanaume wa Tz ni wewe mwenyewe! sawa oa huyo Mbotswana lakini fanya mpango wa kuokoa mwanao..au nae humtaki? so sad that a child has to suffer
 
Mwanamke hajapata uraia wa kule ni kwamba amestole way kwa kuextend muda wa visa, hawezi kuleta songombingo yeyote zaidi watamdemote na amuache mtoto kule kwani yule mtoto si mtanzania tena hata akiamua kufuata legal proceedings mtoto atapata shida sana.. Kumbuka baba wa mtoto alikuwa uwezo mdogo na akatukanwa iweje wewe umlaumu? Kweli wanaume tumeumbwa mateso! Ila sa hv nae anakula bata botswana maisha yamenoga ndo unataka amuache wake mkewe amrudie mwanamke wa kibongo mpenda wazungu? No way, muache muitaliano amchanue mpaka awe na shimo kama kisima.

kweli tamaa mbele mauti nyuma lkn bado mtoto anaweza kusaidiwa,si kuna DNA tu wapime itaonesha mtoto si wa hilo fataki la kitaliano.Ingekua ni mim siku tu nimegundua kamfanyia hivyo mwanangu ndo angejuuta kupenda ngozi nyeusi ningepelekesha mpaka angekoma.Kamuacha mumewe hakujua anakuja ulaya kulima ngano,anyway simuonei mdada huruma naona anastahili ila huyo mtoto roho yangu inaumia juu yake.Hilo lidada nalo nilizoba sijui kwanini hawezi kumtoa mtoto hapo wakati ulaya watoto wanatetewa sana.
 
Keshapata anaempenda, na wamehama wanaishi botswana, its too late kawa mpenda vibabu vya kizungu. Na amekuwa anamchezea kule kwenye pachupachu mtoto, sasa mama akashanga mtoto anakuwa anajifanya vile ndo kinamuuma zaidi.
mkuu naomba usiendelee kuelezea huyo mtoto anavyofanyiwa hujui ni kiasi gani unaiumiza roho yangu,please i beg.
 
huwa hawakati story hivyo, lazima kisa kieleweke na kiishe

part 2 inakuwa kivingine, huoni hata terminator za shoziniga.

Uko kama bongo muviz
 
dada aliona amekula kichwa cha mafioso akaona ameukata kumbe yeye ndiyo ameliwa...
 
huwa hawakati story hivyo, lazima kisa kieleweke na kiishe

part 2 inakuwa kivingine, huoni hata terminator za shoziniga.

Uko kama bongo muviz

Mkuu hata hivyo hii ni bongo muvi, ha ha!
 
Mi naona huyo mwanaume wa Tz ni wewe mwenyewe! sawa oa huyo Mbotswana lakini fanya mpango wa kuokoa mwanao..au nae humtaki? so sad that a child has to suffer

Analysis yako ni nzuri ila umekosea, hii stori haina uhusiano wowote na maisha yangu. Haya yamemkuta mshkaji wangu.
 
Mi naona huyo mwanaume wa Tz ni wewe mwenyewe! sawa oa huyo Mbotswana lakini fanya mpango wa kuokoa mwanao..au nae humtaki? so sad that a child has to suffer

Analysis yako ni nzuri ila umekosea, hii stori haina uhusiano wowote na maisha yangu. Haya yamemkuta mshkaji wangu. Inategemea kama anaona kuna haja ya kumtafuta mtoto au la. Kwa sababu yeye anajiandaa na ndoa huo muda kwa kweli haupo, mtoto atakuja kuelewa tu akikua.
 
Analysis yako ni nzuri ila umekosea, hii stori haina uhusiano wowote na maisha yangu. Haya yamemkuta mshkaji wangu. Inategemea kama anaona kuna haja ya kumtafuta mtoto au la. Kwa sababu yeye anajiandaa na ndoa huo muda kwa kweli haupo, mtoto atakuja kuelewa tu akikua.


hii case ina machizi wengi ,sio dada na muitaliano wake tu.
 
ningeweza kuwa na muujiza
basi ningejigeuza mzungu hata kwa wiki moja tu
nione 'wanavyopapatikiwa' kwa ku experience
halafu nirudi kuwa mswahili niwafuate tena wale wale wanaopapatikia wazungu
nione watasemaje
 
inaonyesha huyo babu tangu mwanzo alikuwa na agenda zake.uchafu gani huo anaowafanyia?hata kama ana uraia,kwani hawawezi kuondoka?tamaa za kupenda wazungu ndio hizo.

Au avumilie tu angoje mauti yamfike huyo babu,labda si masikini,ila ni "bahili".. Awe mvumilivu!
 
ningeweza kuwa na muujiza
basi ningejigeuza mzungu hata kwa wiki moja tu
nione 'wanavyopapatikiwa' kwa ku experience
halafu nirudi kuwa mswahili niwafuate tena wale wale wanaopapatikia wazungu
nione watasemaje

Hivi mkuu The Boss umeshaona wanaume wa kiswahili wakioa wazungu,bado hujikuta wanazaa na waswahili,ama kuwaacha tu wake zao wa kizungu.. Umewahi kuliona hilo...?

Halafu wanume wa Kizungu nao,wakija huku hawawapendi kina dada wa ofisini, wastaarabu,watanashati.. Wengi wao wanachagua wale ... Nakosa the right word,lakini kama "changudoa" vile ndiyo zinakuwa swaga zao... Je umeshawahi kulinote na hili?
 
Last edited by a moderator:
Hivi mkuu The Boss umeshaona wanaume wa kiswahili wakioa wazungu,bado hujikuta wanazaa na waswahili,ama kuwaacha tu wake zao wa kizungu.. Umewahi kuliona hilo...?

Halafu wanume wa Kizungu nao,wakija huku hawawapendi kina dada wa ofisini, wastaarabu,watanashati.. Wengi wao wanachagua wale ... Nakosa the right word,lakini kama "changudoa" vile ndiyo zinakuwa swaga zao... Je umeshawahi kulinote na hili?

Hilo lipo wazi sana, ni ndio maana mbongo ukiwa na mzungu unaonekana ni mwenye njaa tu, na ukweli upo kwani mzungu anaweza kuwa na upendo wa kweli at first instance atakapokuona lakini mbongo huwaza kutoka kimaisha kwanza mapenzi hufuata. Hata kama ana nyumba, na maisha ya kawaida hutegemea kitu zaidi ya kile alichonacho. Ni wachache sana wanapenda kwa ile maana ya mapenzi.
 
Last edited by a moderator:
ningeweza kuwa na muujiza
basi ningejigeuza mzungu hata kwa wiki moja tu
nione 'wanavyopapatikiwa' kwa ku experience
halafu nirudi kuwa mswahili niwafuate tena wale wale wanaopapatikia wazungu
nione watasemaje

Yani ukigeuka mzungu halafu uwe bongo yetu hii utawapanga mkuu kama foleni ya wateja wa NMB!
 
Duuh kama movie za kinaigeria vile, lazima part II. Haya twasuri .....

una makosa ya kuvunja mbavu zangu na sitokusamehe kwa hilo bro aahahahahahahahahahahah
ahahahahahahahahah nimecheka mpaka wife ambaye kwa bahati mbaya haelewi kiswahili ameniita kuwa ni chizi, lazima wife wangu akuchukie.
you made my day
 
Wacha nimalizie naona mtanitoa macho, yule dada amefika italy, mzungu anamzuia kutoka kwenda sehemu yeyote na wanakaa kijijini kwenye mashamba ya ngano. Kumbe mzungu hana hela na ni mnyanyasaji kweli. Ameshamwandikisha mtoto kama wake kwa hiyo dada anaogopa kuondoka na mtoto kwani ashapata uraia wa Italy atakuwa amemtorosha. Baada ya kukutana na mtanzania ambaye ni doctor kule ndiyo akamuelezea shida na manyanyaso anayopata kutoka kwa yule babu, wakati mwingine humuingilia kinyume na maumbile na pia anatabia ya kum-lick yule mtoto na huwa anatabia chafu nyingi tu. Kapata msaada wa simu kampigia mumewe mbongo, jamaa keshamsahau na hataki kusikia chochote kwani nae aliamua kwenda kufanya Masters yake south africa na ameshapata mwanamke wa botswana wanataraji kufunga ndoa mwezi july. Nimekaa nikatafakari nikamuonea huruma sana ili nikikumbuka alichomfanyia mshkaji najisemea akome tatizo natamani kukasaidia kale kamalaika. Story imeishia hapo wakuu. Karibuni na asante kwa kuifuatilia.

sehemu ya pili ya hadithi yako imeharibu kila kitu maana kama tunavyosema kwa kiitaliano" è completamente inverosimile e pertanto non esiste un reato preso seriamente,dopo l'omicidio e il sequestro di persona, come l'abuso sui minori"

umeharibu kila kitu na ulichoandika kinabaki kuwa ni hadithi...
 
sehemu ya pili ya hadithi yako imeharibu kila kitu maana kama tunavyosema kwa kiitaliano" è completamente inverosimile e pertanto non esiste un reato preso seriamente,dopo l'omicidio e il sequestro di persona, come l'abuso sui minori"

umeharibu kila kitu na ulichoandika kinabaki kuwa ni hadithi...

Sawa mkuu, naona umeamua kupiga kitaliano kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom