Mwanamke hajapata uraia wa kule ni kwamba amestole way kwa kuextend muda wa visa, hawezi kuleta songombingo yeyote zaidi watamdemote na amuache mtoto kule kwani yule mtoto si mtanzania tena hata akiamua kufuata legal proceedings mtoto atapata shida sana.. Kumbuka baba wa mtoto alikuwa uwezo mdogo na akatukanwa iweje wewe umlaumu? Kweli wanaume tumeumbwa mateso! Ila sa hv nae anakula bata botswana maisha yamenoga ndo unataka amuache wake mkewe amrudie mwanamke wa kibongo mpenda wazungu? No way, muache muitaliano amchanue mpaka awe na shimo kama kisima.
Mwanamke hajapata uraia wa kule ni kwamba amestole way kwa kuextend muda wa visa, hawezi kuleta songombingo yeyote zaidi watamdemote na amuache mtoto kule kwani yule mtoto si mtanzania tena hata akiamua kufuata legal proceedings mtoto atapata shida sana.. Kumbuka baba wa mtoto alikuwa uwezo mdogo na akatukanwa iweje wewe umlaumu? Kweli wanaume tumeumbwa mateso! Ila sa hv nae anakula bata botswana maisha yamenoga ndo unataka amuache wake mkewe amrudie mwanamke wa kibongo mpenda wazungu? No way, muache muitaliano amchanue mpaka awe na shimo kama kisima.
mkuu naomba usiendelee kuelezea huyo mtoto anavyofanyiwa hujui ni kiasi gani unaiumiza roho yangu,please i beg.Keshapata anaempenda, na wamehama wanaishi botswana, its too late kawa mpenda vibabu vya kizungu. Na amekuwa anamchezea kule kwenye pachupachu mtoto, sasa mama akashanga mtoto anakuwa anajifanya vile ndo kinamuuma zaidi.
Mi naona huyo mwanaume wa Tz ni wewe mwenyewe! sawa oa huyo Mbotswana lakini fanya mpango wa kuokoa mwanao..au nae humtaki? so sad that a child has to suffer
Mi naona huyo mwanaume wa Tz ni wewe mwenyewe! sawa oa huyo Mbotswana lakini fanya mpango wa kuokoa mwanao..au nae humtaki? so sad that a child has to suffer
Analysis yako ni nzuri ila umekosea, hii stori haina uhusiano wowote na maisha yangu. Haya yamemkuta mshkaji wangu. Inategemea kama anaona kuna haja ya kumtafuta mtoto au la. Kwa sababu yeye anajiandaa na ndoa huo muda kwa kweli haupo, mtoto atakuja kuelewa tu akikua.
inaonyesha huyo babu tangu mwanzo alikuwa na agenda zake.uchafu gani huo anaowafanyia?hata kama ana uraia,kwani hawawezi kuondoka?tamaa za kupenda wazungu ndio hizo.
ningeweza kuwa na muujiza
basi ningejigeuza mzungu hata kwa wiki moja tu
nione 'wanavyopapatikiwa' kwa ku experience
halafu nirudi kuwa mswahili niwafuate tena wale wale wanaopapatikia wazungu
nione watasemaje
Hivi mkuu The Boss umeshaona wanaume wa kiswahili wakioa wazungu,bado hujikuta wanazaa na waswahili,ama kuwaacha tu wake zao wa kizungu.. Umewahi kuliona hilo...?
Halafu wanume wa Kizungu nao,wakija huku hawawapendi kina dada wa ofisini, wastaarabu,watanashati.. Wengi wao wanachagua wale ... Nakosa the right word,lakini kama "changudoa" vile ndiyo zinakuwa swaga zao... Je umeshawahi kulinote na hili?
ningeweza kuwa na muujiza
basi ningejigeuza mzungu hata kwa wiki moja tu
nione 'wanavyopapatikiwa' kwa ku experience
halafu nirudi kuwa mswahili niwafuate tena wale wale wanaopapatikia wazungu
nione watasemaje
Duuh kama movie za kinaigeria vile, lazima part II. Haya twasuri .....
Wacha nimalizie naona mtanitoa macho, yule dada amefika italy, mzungu anamzuia kutoka kwenda sehemu yeyote na wanakaa kijijini kwenye mashamba ya ngano. Kumbe mzungu hana hela na ni mnyanyasaji kweli. Ameshamwandikisha mtoto kama wake kwa hiyo dada anaogopa kuondoka na mtoto kwani ashapata uraia wa Italy atakuwa amemtorosha. Baada ya kukutana na mtanzania ambaye ni doctor kule ndiyo akamuelezea shida na manyanyaso anayopata kutoka kwa yule babu, wakati mwingine humuingilia kinyume na maumbile na pia anatabia ya kum-lick yule mtoto na huwa anatabia chafu nyingi tu. Kapata msaada wa simu kampigia mumewe mbongo, jamaa keshamsahau na hataki kusikia chochote kwani nae aliamua kwenda kufanya Masters yake south africa na ameshapata mwanamke wa botswana wanataraji kufunga ndoa mwezi july. Nimekaa nikatafakari nikamuonea huruma sana ili nikikumbuka alichomfanyia mshkaji najisemea akome tatizo natamani kukasaidia kale kamalaika. Story imeishia hapo wakuu. Karibuni na asante kwa kuifuatilia.
sehemu ya pili ya hadithi yako imeharibu kila kitu maana kama tunavyosema kwa kiitaliano" è completamente inverosimile e pertanto non esiste un reato preso seriamente,dopo l'omicidio e il sequestro di persona, come l'abuso sui minori"
umeharibu kila kitu na ulichoandika kinabaki kuwa ni hadithi...