Tanzania ni nchi inayoendelea kwa kasi katika matumizi ya simu ikiwa na wastani wa watumiaji wa simu za mkononi millioni 15, kwa wastani inasadikiwa kila mtanzania anatumia shs mia tano kwa siku kwa hiyo kwa jumla za fedha wanazopata ni kama shillingi bilioni 7 kwa siku. kutokana na mapato hayo kama tukitoza kodi ya VAT na zinginezo kwa asilimia ishirini(20%) inatakiwa tupate shs billion 1.5 kwa siku kwa hiyo ukichukua kwa mwaka siku kama 360 inakuwa shillingi billion 540, lakini cha kushangaza unakuta TRA wanakusanya chini ya billion 100 kwa ujumla huu ni upungufu wa zaidi ya shs billion 440 kwa mwaka, uzembe huu unaligharimu taifa kwa kiasi kikubwa mbaya zaidi haya ni makampuni ya kigeni yanaondoka na fedha zetu kwa hiyo ni kitu cha ajabu sana kuacha kiendelee kwani taifa linakosa mapato makubwa sana,
napenda nitoe wito kwa jamii ya watanzania kupigania upotevu huu mkubwa hili kukuza uchumi wa nchi yatu kwani tunaibiwaaaaaaaaaaaaaa
je watanzania hatuna wasomi hata wa kutathimini kodi
au kuna tatizo gani?
napenda nitoe wito kwa jamii ya watanzania kupigania upotevu huu mkubwa hili kukuza uchumi wa nchi yatu kwani tunaibiwaaaaaaaaaaaaaa
je watanzania hatuna wasomi hata wa kutathimini kodi
au kuna tatizo gani?