Djprezzo
Member
- Jul 22, 2013
- 17
- 7
Ukiachana na swala zima la kuuziana magari huko nyuma ama magari kuwa garage pia kuna issue ya hawa watu wa Clearing.
Kwa kipindi kirefu huko nyuma kulikua na tabia kwenye haya makampuni ya clearing and forwarding kubaki na copy ya vitambulisho vya wateja wao wakati wanawaagizia magari.
Vitambulisho hivi pia kwa kiasi kikubwa vilikua vikitumika kuagiza magari mengine ambayo yalikuaga yanaenda yard ama kuletewa mteja mwengine ambaye hana documents za kutosha.
So kiukweli janga hili watanzania wengi sana wataumia na wengine kwa asilimia 100 kabisa hawana kosa lolote.
Unaweza jikuta una miliki magari hata 20 mjini hapa bila kujijua!!!!
Tuchukueni tahadhari
Unaweza kua unadhani wewe msafi kumbe huko nyuma kuna mtu amekuchafua sana unajikuta unadeni la mamilioni kadhaa.
Na hali ilivyo ngumu sasa hivi Mungu Atusaidie kwakweli!!!!
Kwa kipindi kirefu huko nyuma kulikua na tabia kwenye haya makampuni ya clearing and forwarding kubaki na copy ya vitambulisho vya wateja wao wakati wanawaagizia magari.
Vitambulisho hivi pia kwa kiasi kikubwa vilikua vikitumika kuagiza magari mengine ambayo yalikuaga yanaenda yard ama kuletewa mteja mwengine ambaye hana documents za kutosha.
So kiukweli janga hili watanzania wengi sana wataumia na wengine kwa asilimia 100 kabisa hawana kosa lolote.
Unaweza jikuta una miliki magari hata 20 mjini hapa bila kujijua!!!!
Tuchukueni tahadhari
Unaweza kua unadhani wewe msafi kumbe huko nyuma kuna mtu amekuchafua sana unajikuta unadeni la mamilioni kadhaa.
Na hali ilivyo ngumu sasa hivi Mungu Atusaidie kwakweli!!!!