Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Hello GTs!
Ninafungua kampuni itakayohusika na utoaji wa huduma za afya. Kama kawaida ya biashara, ningependa nifungue account katika bank yenye uwezekano mkubwa wa kunipa mkopo (labda baada ya miezi sita hadi mwaka) ili niweze kupanua biashara. Bank hiyo isiwe na urasimu mkubwa wa kutoa mkopo, riba isiwe kubwa na urejeshwaji uwe wa muda mrefu kidogo.
Mimi ni mtaalamu wa afya, hivyo sijui vizuri kuhusu mambo ya kibenki (ila kwa sasa nimeanza kusoma MBA kwa ajili ya ujasiriamali) hivyo ningependa nipewe ushauri wa mikopo ya bank zetu Tanzania kwa kuendeleza biashara. Nawasilisha.
Ninafungua kampuni itakayohusika na utoaji wa huduma za afya. Kama kawaida ya biashara, ningependa nifungue account katika bank yenye uwezekano mkubwa wa kunipa mkopo (labda baada ya miezi sita hadi mwaka) ili niweze kupanua biashara. Bank hiyo isiwe na urasimu mkubwa wa kutoa mkopo, riba isiwe kubwa na urejeshwaji uwe wa muda mrefu kidogo.
Mimi ni mtaalamu wa afya, hivyo sijui vizuri kuhusu mambo ya kibenki (ila kwa sasa nimeanza kusoma MBA kwa ajili ya ujasiriamali) hivyo ningependa nipewe ushauri wa mikopo ya bank zetu Tanzania kwa kuendeleza biashara. Nawasilisha.