Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Kampuni imeshindwa kabisa kukamata kipande cha soko, itabidi iuzwe au ife karibu sana, nakumbuka nilikuwa naangalia stats za makampuni ya simu Tanzania hawa jamaa wanatia huruma kusema ukweli na kama sikosei walipoteza jumla ya wateja mwaka huu wakati kila kampuni zote nyingine zimeongeza.
What is the reason behind losing customers?