Kampuni ya sasatel yafilisika rasmi.

Kampuni imeshindwa kabisa kukamata kipande cha soko, itabidi iuzwe au ife karibu sana, nakumbuka nilikuwa naangalia stats za makampuni ya simu Tanzania hawa jamaa wanatia huruma kusema ukweli na kama sikosei walipoteza jumla ya wateja mwaka huu wakati kila kampuni zote nyingine zimeongeza.

What is the reason behind losing customers?
 
What is the reason behind losing customers?

Repoti za TCRA hazitoi reasoning, unaweza ukazidownload site ya TCRA.

Ila kuna stepu nyingi walibugi hawa watu, kwanza technolojia wanayotumia ya simu haiko compatible na tulizozoea hapa Bongo, wanatumia CDMA badala ya GSM madhara yake makubwa simu zote za GSM haziwezi kufanya kazi kwenye network yao, kwa jinsi wabongo tunavyobadili sim card daily hili ni tatizo kubwa sana, mambo ya technolojia tofauti yanawezekana US kwa sababu mtu anasign mkataba wa muda mrefu na kampuni ya simu. Jaribu kutafuta simu ta CDMA bongo hakuna options kabisa. Kwa hiyo mtu hauwezi kuswitch kuamua kutumia Sasatel hata ungependa kujaribu, cost ni kubwa i.e kununua simu mpya + sio convenient.

Pia network wameshindwa kuitanua, coverage ni ndogo sana, bila wateja hakuna cash na bila kutanua network hakuna wateja. Bila cash unashindwa kulipa mishahara.

Naamini offer zao zilikuwa ngumu kuelewa/kufananisha kwa watu wengi, zile za lipa 10,000/= upate dakika 200 na SMS 500 (mfano) mbongo akishaona elfu kumi anaacha kusoma anakimbilia vocha ya 500 hata kama hiyo ya elfu kumi ni bora ukipiga mahesabu, na pengine hana hiyo 10,000 anyway.
Copy/Paste ilikuwa nyingi sana kwenye business plan yao kwa kifupi.

Competition ni kubwa sana watu walishusha bei hadi shiling kama sikosei ili kupata wateja nadhani hata kiasi cha kupata hasara sometimes ila sina uhakika, wao wana wateja teyari na wana hela benki so wanaweza kuzichoma kwa muda mfupi ili wakamate market, wewe unaingia kwenye soko unahitaji hela utashindana vipi na mtu ambaye yuko teyari kuuza kwa hasara au karibia na hasara? Inabidi uje na cash kwenye benki na uwe tayari kuzichoma kwa miaka kadhaa ili ukamate soko.

Kuna malalamiko kuwa internet yao sio nzuri ila sijawahi kutumia personally.
 
Kampuni ya simu za mkononi ya SASATEL iko choka mbaya kiasi cha kushindwa kulipa mishahara ya wafanyakazi wake. Kwa muda sasa hali ya mambo ndani ya shirika hili si nzuri kiasi cha kufikia kulipa mishahara ya wafanyakazi wake kwa mafungu.

Wafanyakazi walilipwa nusu mshahara mwezi wa saba nusu iliyobaki hawajalipwa mpaka sasa. Wafanyakazi wana wasiwasi sana kuwa sasa wanaelekea mwisho wa mwezi wa nanae huku hawajalipwa nusu ya mwezi julai.

Huyu mwekezaji vipi?

yawezekana ni kweli manake kuna mtzd mmoja aliacha kazi voda akaenda sasatel mwaka 2009 sasa kimeota nyasi mweee ndugu yangu lyf lenyewe zengwe dah
 
yawezekana ni kweli manake kuna mtzd mmoja aliacha kazi voda akaenda sasatel mwaka 2009 sasa kimeota nyasi mweee ndugu yangu lyf lenyewe zengwe dah

Mwanawalwa,
Afadhali huyu mtzd amefanya miaka minne huyu mdugu wangu ndio kwanza katokea Zantel mwaka jana tu ni noma.
 
yawezekana ni kweli manake kuna mtzd mmoja aliacha kazi voda akaenda sasatel mwaka 2009 sasa kimeota nyasi mweee ndugu yangu lyf lenyewe zengwe dah
<br>
<br>Mwanawalwa,<br>Afadhali huyu mtzd amefanya miaka minne huyu mdugu wangu ndio kwanza katokea Zantel mwaka jana tu ni noma.<br>
 
Nasikia TTCL kwa jinsi wanavyohujumiwa kwa ukataji wa copper networks, serikali lazima itunge sheria kudhibiti uuzaji wa copper kama scrap metals otherwise TTCL is next.
 
dah its too sad kwa investor bcoz ametumia gharama kubwa kuanzisha kampuni halaf inakufa. Kiufupi soko la telecom hapa bongo lishakuwa gumu, ni ngumu sana kuwahamisha watu kutoka kwenye mtindao yao waliyozoea kama tigo. dah sijui zantel ina hali gani economically?
 
Yaani hii kampuni sijui hata number zake za simu zinaanzia na ngapi? Ni sawa na Zantel tu kwangu, sijawahi hata kuwaza kupata line japo nasikia ni rahisi kigharama. Ngoja nife na wa kizamani wangu!!! Hawa wasichana wapya tabu tupu!!
 
Wameshindwa kulipia matangazo; matawi yamefungwa (mf. Tegeta); mameshindwa kutanua matawi nje ya DSM, wameshindwa kufanya promosheni n.k. Sijui inaa muda gani sokoni, kwani imefutika kwenye akili yangu.
Soko ni gumu sana, na upepo ni mkali. Kule TTCL mwembwe zimepungua na Zantel(part of Etisalat wanatumia gharama kubwa kwa matangazo na ofa) wapo katika hali gani?
 
Nasikia TTCL kwa jinsi wanavyohujumiwa kwa ukataji wa copper networks, serikali lazima itunge sheria kudhibiti uuzaji wa copper kama scrap metals otherwise TTCL is next.

...zaidi ya ukataji waya, serikali yetu sikivu nayo imechangia sana katika kuielekeza TTCL Shimoni...!

 
Dah Sasatel me niliacha pale walipoanza kuniibia kila nikiweka Vocha ya Jero najiunga na bundle yao ya 24hours unlimited then na connect Internet niki browse kidogo inakata ukicheck balance unakuta imeliwa kufuatilia wanasema system mbovu niweke ya Buku Tano mmh! nikasepa kwa Voda ya Ma freemason nayo haikukaa Sawa zantel nayo longo longo tigo ikatulia....So nikaona niachane nao Simu yao naitumia kusikilizia Radio japo ipo online nilitamani niwareport kumbe ningewataabisha Sana walishanilia japo kidogo 3000 ila hasira zangu zilikuwa kuwepo home bila net...

Kama kuna mchango wa kuwachangia jamani tuwachangie tu net yao niliifaidi si Utani kwa Jero tu 24hours wakati huo ilikuwa ndio Rates ya Chini zaidi ya Mitandao mingine.
 
Hawa huwa wanauza vocha ambazo ukichunguza utaona kwamba muda wake wa matumizi umepitwa na wakati (aka ume-expire, tena tokea mwaka jana), lakini la ajabu ukijaza unakuta bado vocha inafanya kazi. Sasa hiyo ni ishara tosha kuwa biashara yao imedoda, lakini ukweli ni kwamba vocha zao za internet za Tshs 7500 kwenda juu HATA KAMA ZIME EXPIRE huwa zinadumu muda mrefu kama ukitumia code yao ya internet bundle.
 
Halafu waambieni hata huko NSSF hawalipi tena wamekaidi ile ule mgomo wa wachimbaji waliotaka walipwe kabla ya miaka 60.
Kwa hiyo hata NSSF nayo inafilisika ngoja tusikie Bunge litawapa amri gani hii mifuko ya jamii hasa kwa haya makampuni yakifilisika km SASATEL kuwalipa watumishi walioangukia katika shimo km hilo
 
kweli naona meli yao inazama maana kwa sasa huduma za modem na simu zooote zimelala doroooo, ni internet kwa wireless tu.


booongo eeeeh bongo dar es salaaaaam.....:majani7:

utalia lia liaaa ndani ya dar es salaaammm..... :A S-cry:
 
kweli naona meli yao inazama maana kwa sasa huduma za modem na simu zooote zimelala doroooo, ni internet kwa wireless tu.


booongo eeeeh bongo dar es salaaaaam.....:majani7:

utalia lia liaaa ndani ya dar es salaaammm..... :A S-cry:


ivi haijafa tu?........maana walikua n amtaji mzuri sana initially ila wakakosa strategy..hawana tofauti na mtu kakopa milioni mia anaitumbua baa..........walijenga mjengo wa bilion kadhaa;walilipa mishahara y ainternational;na mengine lukuki while hawajajulikana na ata mtu mmoja..wastage!!!!!!!

yule Technical director na wengineo wameiua hii kampuni...........sidhani kama kuna mtu anaweza inunua kampuniiiyo na akaisimamisha kwa ushindani huu wa KUONGEA BURE SIKU NZIMA
 
...zaidi ya ukataji waya, serikali yetu sikivu nayo imechangia sana katika kuielekeza TTCL Shimoni...!


Sidhani kama TTCL ni y akufa leo wala kesho............TTCL inaservice nyingi za corporate na hazitangazwi kama izo za ONGEA BURE SA 4 HADI12 ASUBUHI....wateja wa corporate wanajua wapi pa kupata huduma izo........na even hao Voda sjui airtel wanaitegemea sana TTCL kuwa hapo walipo...........sipo kwenye industry hiyo but nafahamu...TTCL naiheshimu sana.
 
Wapendwa,
Nimepata taarifa toka kwa mdogo wangu aliyepo sasatel kuwa hadi leo hii hawajalipwa mshahara wa mwezi wa saba na ule wa mwezi wa sita walipewa nusu tu.inasemekana kampuni imeuzwa kwa wasanii wa kitanzania ambao hata hawajui jinsi ya kuendesha kampuni.wafanya kazi wanahofia kudhulumiwa haki zao zote.

Hivi wao walikuwa wanalipa kodi au na wao walikuwa ktk tax holiday kama kampuni nyengine za simu?.
 
Back
Top Bottom