Natasha Ismail
JF-Expert Member
- Jul 14, 2008
- 747
- 640
Wapendwa,
Nimepata taarifa toka kwa mdogo wangu aliyepo sasatel kuwa hadi leo hii hawajalipwa mshahara wa mwezi wa saba na ule wa mwezi wa sita walipewa nusu tu.inasemekana kampuni imeuzwa kwa wasanii wa kitanzania ambao hata hawajui jinsi ya kuendesha kampuni.wafanya kazi wanahofia kudhulumiwa haki zao zote.
Nimepata taarifa toka kwa mdogo wangu aliyepo sasatel kuwa hadi leo hii hawajalipwa mshahara wa mwezi wa saba na ule wa mwezi wa sita walipewa nusu tu.inasemekana kampuni imeuzwa kwa wasanii wa kitanzania ambao hata hawajui jinsi ya kuendesha kampuni.wafanya kazi wanahofia kudhulumiwa haki zao zote.