Mkuu...Asante... ndio nagundua hapa hii ticket kweli imeandikwa Mvungi Safari maana nilipanda ndio nikapewa na nikaitia tu mfukoni...naomba kama unamawasiliano na Shabiby wawaambie wabadilishe jina itawachafua sana maana kuharibu brand ni fasta sana kwa jinsi wanavyoendesha kipuuzi hawa wa mvungiPole Sana Ila napenda kukufahamisha kwamba hakuna Basi la Shabiby la kutoka Dar kwenda Moshi au Arusha. Hilo basi kuna kampuni moja ya Mvungi ndio wametoka kununua hilo basi la kampuni ya Shabiby T132 DLC.Ili kudhihirisha hilo naamini hata tiketi uliyopewa sio ya Shabiby. Ila Pole Sana kwa Usumbufu
Ndio maana wanaendesha kipuuzi kuwaharibia wenzao jina....Sawa ngoja nipate mwanga nipige picha ticket..ni kweli imeandikwa mvungi japo haibadili ukweli kwamba wote tulijua tumepanda shabiby na ndio hata sabau nikapandaUkweli ni kua gari hiyo ilishauzwa so muuzaji kaamua kubeba abiria bila kibali cha Sumatra. Nmeongea na mtu wa karibu wa shabiby. Mtoa mada ulipewa tiket imeandikwa kampuni ipi, kama utaweza tuwekee tiket hapa [sorry sio kwa nia mbaya]
Ningekuwa mimi ningewaita traffic haraka watupe majibu ya huo upuuzi.Basi ni uhuni ambao hata management inajua....bora wangetufaulisha kwenye basi la maana na lenye nafasi kuliko kutusimamisha kwenye mngalangala tena limefungwa tv ya chogo
Kwanza mlitakiwa msishuke kabisa hadi Sumatra na Polisi waje kuwaambia nini kinaendelea.Tatizo hatukujua wanatupeleka kwenye mngalangala uliojaa....kufika kule tukawa tushagawanyika wengine wakashuka kutafuta usafiri mwingine huku wakitukana...mi nimeamua zangu nigonge moja mbili kwanza hapa Redstone huku nikitafakari walichotufanyia then ntaamsha badae....ila pakinoga nikikamatia kitu kizuri arusha wataniona kesho...
Wanajaza hadi mlangoniHao abood wenyewe route ya Dar - Mwanza ni wahuni vibaya, kipindi flani nilisafiri nao tulipofika Moro wakaingia gereji kwao, wakatusubirisha zaidi ya 1h , baada ya kuwalalamikia sana ndo tukaendelea na safari. But Abood Dar to Moro ni confortable sana
Huyo aliesafirisha watu alitumia TLB gani?Kuna bro wangu anafahamiana na Boss wa Shabiby,Nimemtumia hii taarifa kampigia simu hapa hapa nkiwa naye.Yule boss kasema hilo basi washaliuza siku nyingi sema wale jamaa hawajabadilisha jina wala rangi.Ishu ya kuwashusha watu ni kwamba wale jamaa walikuwa wanaogopa SUMATRA kukamatwa.
Moro-Mwanza, tuliondoka saa 12 kwa nyehunge kama ilivyo ada. Tumemaliza dumila twaitafuta Gairo nadhani (nilikua siti za katikati sikujua shida nini) dereva wetu alimchezea rough STL. Yule driver wa STL alikua na bosi wake ndani, ikawa anataka tusimame ana-overtake na kusimama mbele ya bus almost ×4 alivyoona driver wetu hasimami ikabidi aende mbele kwenye trafiki, mbele tukapigwa mkono.Kweli kabisaa,wote wangeamua moja na kukomaa wangefika mbona huko Arusha,wasingekubali kushuka huku wengine wakiwasiliana na kituo cha polisi hapo walipo,haya mambo ya kihuni sio wakati wake huu sasa kwa karne hii asee,.
Mkuu umenikumbusha wakati wa balehe ndio nauli inatoka 50 kwenda 100 kwa wanafunzi . Wakati Sumatra wako kwenye majadiliano na walaji tayari hiace zimeanza kutoza 100. Kuna hiace ilileta matata tukaandika number plate tukaenda kwa RTO, kufika pale desk maafande wanashangaa wanafunzi wanawezaje RTO katusikiliza akaagiza wale "vodafasta" wakaenda kumbeba driver na gari lake maana konda aliona soo akakimbia.Hakuna kitu nachukia kama unasafiri halafu mara mshushwe sijui mfaulishwe bila sababu ya msingi.
Kuna siku tunatoka dar kwenda kilimanjaro ile kufika njia panda wanataka watufaulishe wapite mizani, nilikuwa na bro tulileta zogo na utingo balaa walishuka wengine wakapunguza na mizigo lakini hatukushuka. Hiyo siku ndo niliamini watanzania sio wapole ni waoga tu yani kalipa nauli, anafokewa na konda na bado anashuka!
Mimi kwanza kabisa nikudharau wewe pamoja na abiria wenzako mliokubali kufaulishwa kama mzigo kwenye bus lingine. Hii taarifa unayoitoa hapa ni kama unatwanga maji kwenye kinu, bali ulitakuwa utowe SUMATRA au POLISI, ili bus hilo luchukuliwe hatua. Na kizuri ni kwamba, siku hizi namba ziko kwenye kila bus zimebandikwa na ni bure kupiga.Hii kampuni nilikua naamini ni kampuni inayojiheshimu ila leo ndio nimewadharau na sitokaa nipande tena mabasi yao. Leo nimesafiri na basi lao namba T 132 DLC toka Dar kwenda Arusha cha ajabu tumefika moshi wakatuweka kama nusu saa kisha wakatuambia wameahirisha hawafiki Arusha wanaishia Moshi. Wakatufaulisha kwenye libasi libovu limetoka vijijini na bahati mbaya basi lilikua limejaa tukabishana nao sana wakadai tusimame asietaka ashuke. Kuna wamama walikua na watoto wamelalamika mno na wengine wakaamua kutafuta usafiri mwingine. Binafsi pia niligoma kusimama basi limejaa mno.
Kudhihirisha sio bahati mbaya ni uhuni kwanza walituchelewesha sana pale Same baada ya abiria kwenda kulalamika kwa polisi wamelipa nauli mara mbili na wqmegoma kurudishiwa. Hao abiria walikua wanne mmoja aliwalipia wenzake watatu na wao bila kujua wqmelipiwa wakalipa tena baadae walipogundua wakadai refund Shabiby wakagoma ndio kisa cha kutuchelewesha tena lisaa lizima pale Same. Hawa jamaa ni wahuni kupitiliza tofauti na wanavyoonekana na basi zao kuvutia.
Tatizo hatukujua wanatupeleka kwenye mngalangala uliojaa....kufika kule tukawa tushagawanyika wengine wakashuka kutafuta usafiri mwingine huku wakitukana...mi nimeamua zangu nigonge moja mbili kwanza hapa Redstone huku nikitafakari walichotufanyia then ntaamsha badae....ila pakinoga nikikamatia kitu kizuri arusha wataniona kesho...
Hatuna umoja kwenye kudai haki zetu, sasa kama hapo gari inatoka dar inabidi mwisho wa safari iwe arusha lakini inafika moshi mnashushwa tena kwa lazima na kweli vidume vinashuka!Mkuu umenikumbusha wakati wa balehe ndio nauli inatoka 50 kwenda 100 kwa wanafunzi . Wakati Sumatra wako kwenye majadiliano na walaji tayari hiace zimeanza kutoza 100. Kuna hiace ilileta matata tukaandika number plate tukaenda kwa RTO, kufika pale desk maafande wanashangaa wanafunzi wanawezaje RTO katusikiliza akaagiza wale "vodafasta" wakaenda kumbeba driver na gari lake maana konda aliona soo akakimbia.
Ni kweli, watz tu waoga pesa yako lakini unainyenyekea
Mfuate bungeni ukamlalamikie huenda hajui yanayotokea barabarani.Hii kampuni nilikua naamini ni kampuni inayojiheshimu ila leo ndio nimewadharau na sitokaa nipande tena mabasi yao. Leo nimesafiri na basi lao namba T 132 DLC toka Dar kwenda Arusha cha ajabu tumefika moshi wakatuweka kama nusu saa kisha wakatuambia wameahirisha hawafiki Arusha wanaishia Moshi. Wakatufaulisha kwenye libasi libovu limetoka vijijini na bahati mbaya basi lilikua limejaa tukabishana nao sana wakadai tusimame asietaka ashuke. Kuna wamama walikua na watoto wamelalamika mno na wengine wakaamua kutafuta usafiri mwingine. Binafsi pia niligoma kusimama basi limejaa mno.
Kudhihirisha sio bahati mbaya ni uhuni kwanza walituchelewesha sana pale Same baada ya abiria kwenda kulalamika kwa polisi wamelipa nauli mara mbili na wqmegoma kurudishiwa. Hao abiria walikua wanne mmoja aliwalipia wenzake watatu na wao bila kujua wqmelipiwa wakalipa tena baadae walipogundua wakadai refund Shabiby wakagoma ndio kisa cha kutuchelewesha tena lisaa lizima pale Same. Hawa jamaa ni wahuni kupitiliza tofauti na wanavyoonekana na basi zao kuvutia.
Mbona hapo stendi ya Moshi polisi wapo muda wote! Ilikuwaje mlishindwa kuwajulisha sakata hilo?Hii kampuni nilikua naamini ni kampuni inayojiheshimu ila leo ndio nimewadharau na sitokaa nipande tena mabasi yao. Leo nimesafiri na basi lao namba T 132 DLC toka Dar kwenda Arusha cha ajabu tumefika moshi wakatuweka kama nusu saa kisha wakatuambia wameahirisha hawafiki Arusha wanaishia Moshi. Wakatufaulisha kwenye libasi libovu limetoka vijijini na bahati mbaya basi lilikua limejaa tukabishana nao sana wakadai tusimame asietaka ashuke. Kuna wamama walikua na watoto wamelalamika mno na wengine wakaamua kutafuta usafiri mwingine. Binafsi pia niligoma kusimama basi limejaa mno.
Kudhihirisha sio bahati mbaya ni uhuni kwanza walituchelewesha sana pale Same baada ya abiria kwenda kulalamika kwa polisi wamelipa nauli mara mbili na wqmegoma kurudishiwa. Hao abiria walikua wanne mmoja aliwalipia wenzake watatu na wao bila kujua wqmelipiwa wakalipa tena baadae walipogundua wakadai refund Shabiby wakagoma ndio kisa cha kutuchelewesha tena lisaa lizima pale Same. Hawa jamaa ni wahuni kupitiliza tofauti na wanavyoonekana na basi zao kuvutia.
Kwwli mkuu hiyo ni changamoto, kuna siku natoka Kigoma kuna mama mmoja wa kikongo akawa anawapigia makelele dereva ashuke akachimbe dawa ilipita like 1h ndio driver akasimama basi gari kusimama vidume karibu vyote navyo vikashuka kuchimba dawa, maza aliwamind sana akawaambia kwa kuwa mabubuHatuna umoja kwenye kudai haki zetu, sasa kama hapo gari inatoka dar inabidi mwisho wa safari iwe arusha lakini inafika moshi mnashushwa tena kwa lazima na kweli vidume vinashuka!