SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Kamati ya Bunge inapendekeza kuwa sasa hii
Kuna misaada ambayo hutolewa na makampuni huku tukiwaona wakipiga picha magazetini. Mfano ni ile ambayo NMB tunapomuona Shyrose Bhanji akionekana huku na kule akitoa ama cheque, madawati kwa shule, cement nk.
Misaada hii huitwa Corporate Social Responsibility (CSR).
Niko naangalia Bunge, sasa hivi Kamati ya Bunge iliyojadili dakika hii mapendekezo ya Ofisi ya Waziri Mkuu imependekeza kwamba misaada hii iwe ni sehemu ya uwekezaji na isiwe tena hisani kama ilivyo sasa.
Kaisema kwa kifupi sana na sijui matokeo ya mapendekezo hayo itakuwa ni nini?
Mnaonaje wadau
Kuna misaada ambayo hutolewa na makampuni huku tukiwaona wakipiga picha magazetini. Mfano ni ile ambayo NMB tunapomuona Shyrose Bhanji akionekana huku na kule akitoa ama cheque, madawati kwa shule, cement nk.
Misaada hii huitwa Corporate Social Responsibility (CSR).
Niko naangalia Bunge, sasa hivi Kamati ya Bunge iliyojadili dakika hii mapendekezo ya Ofisi ya Waziri Mkuu imependekeza kwamba misaada hii iwe ni sehemu ya uwekezaji na isiwe tena hisani kama ilivyo sasa.
Kaisema kwa kifupi sana na sijui matokeo ya mapendekezo hayo itakuwa ni nini?
Mnaonaje wadau