Kampuni isiyo na Landline na Fax ni kampuni ya mfukoni

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Aug 4, 2014
1,637
458
Unajua siku hizi watu wanajitoa akili. Ukweli ni kwamba, kwenye swala zima la biashara, kuna Ground Rules zimeshawekwa, tayari Rules hizo zimeshakuwa desturi na tamaduni. Mtu akisajili kikampuni chake Brela kisha akawa na kiwebsite mtandaoni anaona kamaliza! anyway, kamaliza kwa wateja wa mtaani na nyumbani kwake.

Leo hii ukiangalia anuani za kampuni nyingi unakuta ni namba za simu za mkononi tatu!! za nini kama sio utapeli? hamna landline (kwamba ninaweza kukutrace kama ukiharibu maana huwezi kuhama hama), hamna Fax, na wengine wana email za gmail na hotmail! REALLY??

Cha ajabu zaidi, ukiwavisit site kwao, utawakuta wako ndani ya estate ambayo ni makazi yasiyo na anuani kwamba hapo kuna biashara halali iliyosajiliwa, halafu wanajiita "Corporate"! DAMN
 
Acha mambo ya ajabu, hivi Tanzania hii maeneo yote yana anwani?

Tushahama kwenye mafax tupo kwenye email usiturudishe nyuma

Wewe kama unatengeneza websites useme sio kujibaraguza hapa
 
Unajua siku hizi watu wanajitoa akili. Ukweli ni kwamba, kwenye swala zima la biashara, kuna Ground Rules zimeshawekwa, tayari Rules hizo zimeshakuwa desturi na tamaduni. Mtu akisajili kikampuni chake Brela kisha akawa na kiwebsite mtandaoni anaona kamaliza! anyway, kamaliza kwa wateja wa mtaani na nyumbani kwake.

Leo hii ukiangalia anuani za kampuni nyingi unakuta ni namba za simu za mkononi tatu!! za nini kama sio utapeli? hamna landline (kwamba ninaweza kukutrace kama ukiharibu maana huwezi kuhama hama), hamna Fax, na wengine wana email za gmail na hotmail! REALLY??

Cha ajabu zaidi, ukiwavisit site kwao, utawakuta wako ndani ya estate ambayo ni makazi yasiyo na anuani kwamba hapo kuna biashara halali iliyosajiliwa, halafu wanajiita "Corporate"! DAMN
Akili za kuajiriwa utazijua tu!
 
Back
Top Bottom