Marmo amebariki kampeni ya nyumba hadi nyumba lakini hajatufafanulia kuhusu kukusanya habari za wapiga kura nyumba hadi nyumba hasa zinazofanywa na chama tawala.
Kabla ya kupiga kura kuna chama ambacho kitakuwa na data za watu wake na wasio watu wake na hii ni hatari kawni ikitokea vurugu ya kuchomea nyumba ni kiasi cha tawi la chama kuamua ipi iunguzwe na ipi ibaki.
Kabla ya kupiga kura kuna chama ambacho kitakuwa na data za watu wake na wasio watu wake na hii ni hatari kawni ikitokea vurugu ya kuchomea nyumba ni kiasi cha tawi la chama kuamua ipi iunguzwe na ipi ibaki.