Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Nimepata habari kwamba jana mchana kumetokea mapigano kiasi cha waumini kukimbia ovyo katika msikiti mmoja mjini Bukoba. Msikiti huu maarufu kama msikiti wa waarabu uliopo katika eneo la Omukigusha ndiko inasemekana kutokea kisa hiki.
Inasemekana kiongozi wa msikiti wakati wa ibada alichomeka kampeni na kumuita mgombea ubunge Lwakatare kwamba ni kafiri. Jambo hili liliwaumiza baadhi ya waumini na kuwa chanzo cha vurugu na mapigano.
Watu wengi walionekana wakikimbia ovyo kutoka msikitini hapo kuyapisha mapigano hayo.
Inasemekana kiongozi wa msikiti wakati wa ibada alichomeka kampeni na kumuita mgombea ubunge Lwakatare kwamba ni kafiri. Jambo hili liliwaumiza baadhi ya waumini na kuwa chanzo cha vurugu na mapigano.
Watu wengi walionekana wakikimbia ovyo kutoka msikitini hapo kuyapisha mapigano hayo.