Habari JF,
Mimi ni binti nilikua na mpenzi wangu tuliyedumu kwa miaka miwili, ingawa hakua officially ila alijulikana kwetu. Kuna kipindi tulikwazana mwezi mzima baadae tukaelewana.
Sasa hivi majuzi, nimegundua ana mwanamke na ana mimba yake. Tukakaa chini kuzungumza anadai alikutana na huyo mwanamke kipindi tumekwazana na anajutia sana kwani mimi ndiye chaguo lake so anaomba nimvumilie mpaka huyo mwanamke ajifungue then atanioa.
Anaogopa kumkwaza huyo mwanamke kwa sasa, atatoa mimba yake. Na pia anasema huyo mwanamke ana tatizo la moyo so asije akadhurika, kwahiyo mimi nivumilie tu awe nae mpaka atakapojifungua atarudi kwangu.
Jamani, naumia na nipo njia panda. Kumpenda nampenda mno na yeye kuniacha hataki kabisa naumia jamani.
Nisaidieni ushauri
Mimi ni binti nilikua na mpenzi wangu tuliyedumu kwa miaka miwili, ingawa hakua officially ila alijulikana kwetu. Kuna kipindi tulikwazana mwezi mzima baadae tukaelewana.
Sasa hivi majuzi, nimegundua ana mwanamke na ana mimba yake. Tukakaa chini kuzungumza anadai alikutana na huyo mwanamke kipindi tumekwazana na anajutia sana kwani mimi ndiye chaguo lake so anaomba nimvumilie mpaka huyo mwanamke ajifungue then atanioa.
Anaogopa kumkwaza huyo mwanamke kwa sasa, atatoa mimba yake. Na pia anasema huyo mwanamke ana tatizo la moyo so asije akadhurika, kwahiyo mimi nivumilie tu awe nae mpaka atakapojifungua atarudi kwangu.
Jamani, naumia na nipo njia panda. Kumpenda nampenda mno na yeye kuniacha hataki kabisa naumia jamani.
Nisaidieni ushauri