CEO anateuliwa na Waziri wakati Kamishna wa Madini ni mteule wa Rais. Hivyo jamaa amepaa. Ni kweli jamaa yuko vizuri sana, nimeona hata CV yake iko poa. Namtakia heri aokoa madini yetuIna maanisha ameula au? Mbona km u-c.e.o wa Agencies upo vzr kuliko ukamishna wzrn! Au