mabomu hayajaanza kulipuka?
Ni kambi ya mishale iliyotumika katika vita vya Majimaji....hailipuki
teh teh teh. Mbona unaleta matani na hi issue. Ngoja tusubir ni vakunyumba valenga vahwili ni motu.
these things are happening too frequent to be just accidents
Something is cooking
Ni kambi ya mishale iliyotumika katika vita vya Majimaji....hailipuki
duh halafu karibu na ma home pale MABATINI mabomu yasije lipua house ya mshua duh!
Ni kambi ya mishale iliyotumika katika vita vya Majimaji....hailipuki