ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,056
- 49,743
Nimecheka eti aliambiwa na Giani Infantino πππππ
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Salim Abdallah 'Try Again' amesema wakati wa mchezo wa fainali ya African Football League nchini Afrika Kusini aliambiwa na Rais wa FIFA, Gianni Infantino kuwa Simba inacheza vizuri kuliko Mamelodi Sundowns na Wydad AC.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Salim Abdallah 'Try Again' amesema wakati wa mchezo wa fainali ya African Football League nchini Afrika Kusini aliambiwa na Rais wa FIFA, Gianni Infantino kuwa Simba inacheza vizuri kuliko Mamelodi Sundowns na Wydad AC.