Saido kiungo bora sawa ila MVP hapana, Mayele anastahili bila chenga chenga maana magoli yake yameipa Yanga ubingwaKama ambavyo Mayele kapewa MVP vigezo ni vipi?? To me Saidooo alistahili...
Mchezaji bora lazima awe na mchango kwa timu hasa kuchukua ubingwa...!!Kama ambavyo Mayele kapewa MVP vigezo ni vipi?? To me Saidooo alistahili...
Acha unazi wewe, Job ni beki wa kati na hata ukiangalia msimu wote huu jamaa katumika Sana. Katumiwa kati, kushoto na kulia na kote kacheza vema.Nitafutieni Dickson Job hapaView attachment 2655537View attachment 2655538
Nitafutieni Dickson Job hapaView attachment 2655537View attachment 2655538
Huwezi linganisha hao WINGBACKS na kitasa!Nitafutieni Dickson Job hapaView attachment 2655537View attachment 2655538
Kama ambavyo Mayele kapewa MVP vigezo ni vipi?? To me Saidooo alistahili...
Category ya tuzo inaangazia eneo la beki, haijakishi ni beki wa kati au beki wa pembeni na hata kwenye kinyangal'anyio waliwekwa wote.Acha unazi wewe, Job ni beki wa kati na hata ukiangalia msimu wote huu jamaa katumika Sana. Katumiwa kati, kushoto na kulia na kote kacheza vema.
Sijui kwanini wasingempa yule Mbrazil badala ya Saido.Mbrazil wa Singida na Akamiko walikuwa viungo Bora sana
Umemaliza kila kitu!!!Mkuu Scars sina takwimu sahihi za huyo dogo na Inonga.
Lakini Mabeki usiwapime kwa idadi ya magoli wala assits. Kazi ya msingi ya beki ni kulinda ngome. Ni askari wa mwisho kabla ya kufikiwa golikipa.
Hivyo, kwenye mjadala ainisha takwimu vitu vya msingi ambavyo mlinzi anapaswa kutimiza. Navyo ni blocks, interceptions na clearances.
Je, huyo Dogo ana ngapi na unadhani nani anayestahili? Leta takwimu zao wote wawili.