Kamati kuu ya CHADEMA yakutana leo kwa dharura

Hamuyu

Senior Member
Mar 29, 2010
118
21
Kamati Kuu ya CDM inakutana leo asubuhi kwa dharura pamoja na mambo mengine itajadili na kutoa na kupanga uchaguzi wa Baraza la Vijana, Wanawake na kutoa ratiba ya awamu ya pili ya Maandamano yatakayoendelea nchi mzima.

Hakuna kulala mpaka kieleweke,
 
kamati kuu ya cdm inakutana leo asubuhi kwa dharura pamoja na mambo mengine itajadili na kutoa na kupanga uchaguzi wa baraza la vijana, wanawake na kutoa ratiba ya awamu ya pili ya maandamano yatakayoendelea nchi mzima.

Hakuna kulala mpaka kieleweke,

kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.
 
Mh..! ratiba mbona ilishatolewa kuwa ni nyanda za juu kusini au ile ilikuwa ni nini?
Ok!kazi njema makamanda nadhani vijana mtakuwa mmeomba nafasi za uongozi kwenye maeneo yenu mbali na hz za kitaifa.
 
Tunategemea Hoja zingine zenyenguvu kuwapagawisha ccm.Kwani sasa serikali inafanya kazi kwa kutumia hoja za CDM.
 
kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.
Kwa mtu asiyekuwa mzalenda wazo lako zuri. Hii ndiyo njia waliyotumia thithiem kuwashinda upinzani siku zote. Ni hii hasa ndiyo sababu nchi yetu haiendelei. Yaani katika miaka mitano ya uongozi miaka miwili ni ya kulala halafu mwaka mmoja wa kazi. Hii ni haja isiyokuwa na msingi wowote. Kwa ushauri wangu wapelekee thithiem usiilete kwa watu makini.
Zaidi sana naendelea kuwaombea viongozi wa CDM wafanikiwe katika mkutano wao. Mungu awabariki na kuwalinda, Mwenyezi Mungu awatangulie na kuwapa heli, mfanikiwe katika mipango yenu.
 
kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.

Bila kuwa na ushabiki au upinzani usiokuwa na msingi kwa chama chochote cha siasa, hivi CHADEMA kama chama cha siasa hawana haki kufanya wanayoyafanya kwa sasa? Kama kuna kosa kisheria basi shuhdia hilo kosa vinginevyo unazungumzia mambo kwa hisia zisizo na msingi wala mashiko yoyote. Hata kama (CHADEMA au chama kingine chochote) wakiamua kufanya vikao au kuandamana kila siku alimradi hawavunji sheria za nchi, waacheni ni haki yao kikatiba. Na kujaribu kuzuia haki ya yeyote kwa sababu yoyote ile huko ndio kuleta machafuko.
 
Bila kuwa na ushabiki au upinzani usiokuwa na msingi kwa chama chochote cha siasa, hivi CHADEMA kama chama cha siasa hawana haki kufanya wanayoyafanya kwa sasa? Kama kuna kosa kisheria basi shuhdia hilo kosa vinginevyo unazungumzia mambo kwa hisia zisizo na msingi wala mashiko yoyote. Hata kama (CHADEMA au chama kingine chochote) wakiamua kufanya vikao au kuandamana kila siku alimradi hawavunji sheria za nchi, waacheni ni haki yao kikatiba. Na kujaribu kuzuia haki ya yeyote kwa sababu yoyote ile huko ndio kuleta machafuko.

CCM wanataka chadema walale, wakati wao kila siku wako ziara mikoani, Rais, waziri mkuu, makamu, wote wakienda mikoani wanafanya mikutano ya hadhara, wanashambulia upinzani tena kwa gharama za Serikali!
 
Bila kuwa na ushabiki au upinzani usiokuwa na msingi kwa chama chochote cha siasa, hivi CHADEMA kama chama cha siasa hawana haki kufanya wanayoyafanya kwa sasa? Kama kuna kosa kisheria basi shuhdia hilo kosa vinginevyo unazungumzia mambo kwa hisia zisizo na msingi wala mashiko yoyote. Hata kama (CHADEMA au chama kingine chochote) wakiamua kufanya vikao au kuandamana kila siku alimradi hawavunji sheria za nchi, waacheni ni haki yao kikatiba. Na kujaribu kuzuia haki ya yeyote kwa sababu yoyote ile huko ndio kuleta machafuko.

Dudus ni kweli uliyosema na nakubaliana nayo heshima kwako Mkuu tuendelee kuwaombea viongozi wetu wa CDM Mungu awatangulie katika kila wanalolipanga kwa maslahi ya nchi yetu
 
kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.

Majibu ya Wazalendo wa kweli wa nchi yao wamekupa coments nzuri sana hapo chini, nakushukuru na pia naheshimu sana mawazo yako hata kama hayako sahihi
 
Mh..! ratiba mbona ilishatolewa kuwa ni nyanda za juu kusini au ile ilikuwa ni nini?
Ok!kazi njema makamanda nadhani vijana mtakuwa mmeomba nafasi za uongozi kwenye maeneo yenu mbali na hz za kitaifa.

Mkuu ni kweli mapendekezo ya ratiba yalitolewa hapo kabla, katika kikao hiki tunatarajia wajumbe watapata taarifa na watatathmini kwa kina yote yaliotokea na kushauri juu ya nini kifanyike katika kuleta ufanisi na hapo Kamati Kuu itafanya maamuzi rasmi ya kazi, shughuli na ratiba nzima, coz Kamati Kuu ndio chombo cha juu chenye maamuzi kwa mujibu wa Katiba
 
Zitto pia si ni mjumbe wa kamati kuu? Natarajia kumuona katika ngwe hii ya pili ya maandamano! Nafikiri excuse aliyokuwa nayo haipo tena labda kama ataenda India!
 
Kama maandamano ya amani poa tu lakini kama wataendelea kutoa milopoko ya incite watu then wajadili pia watafanya lipi chama kikipigwa stopu na tendwa,vilevile kama viongozi wakuu wakiswekwa lupango anything can happen siku zote simba mwendapole ndo mla nyama.
VIPI PENGO NAYE KAALIKWA maana nasikia ndo chadema one.
 
kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.
Mbona unatapika kabla hata ya kujua nini kinaendelea kwenye mkutano ukisikia neno CDM tu basi mat....o yanalia mbwata mtakonda sana mwaka huu.
 
Zitto pia si ni mjumbe wa kamati kuu? Natarajia kumuona katika ngwe hii ya pili ya maandamano! Nafikiri excuse aliyokuwa nayo haipo tena labda kama ataenda India!
 
Kama maandamano ya amani poa tu lakini kama wataendelea kutoa milopoko ya incite watu then wajadili pia watafanya lipi chama kikipigwa stopu na tendwa,vilevile kama viongozi wakuu wakiswekwa lupango anything can happen siku zote simba mwendapole ndo mla nyama.
VIPI PENGO NAYE KAALIKWA maana nasikia ndo chadema one.
 
Mr Mark tunakufahamu wewe ni kada mzuri sana wa ccm unashikilia nafasi ya uongozi hivyo huwezi kuunga mkono harakati zozote za chadema kwa kuwa zinatishia nafasi yako endapo CDM itashika hatamu. Chadema endeleeni kuamsha wananchi hadi kielewe naami kikao pia kitakuja na majibu mazito dhidi ya waropokaji kama Membe, sophia simba na wassira.
 
Kama maandamano ya amani poa tu lakini kama wataendelea kutoa milopoko ya incite watu then wajadili pia watafanya lipi chama kikipigwa stopu na tendwa,vilevile kama viongozi wakuu wakiswekwa lupango anything can happen siku zote simba mwendapole ndo mla nyama.
VIPI PENGO NAYE KAALIKWA maana nasikia ndo chadema one.
Hebu rudia tena kusoma post yako taratibu utuambie ulikuwa unamaanisha nini maana ni mchanganyo kwa kwenda mbele ni kama bata alikuwa anajisaidia.
 
CDM wanafanya kazi nzuri, wanahamasisha watu kujua haki zao...wanamtetea Mtanzania wa kawaida...wanatetea maslahi ya umma...wanafungua macho ya wegi na mengine mengi. Hayo hayawafurahishi mafisadi na their blind supports. Chadema fanyeni kazi, maneno ya mafisadi na wasaidizi wao are all vanity and chasing after wind
 
kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.

mkubwa ulikulupuka ghafla usingizini nin?mbona mzushi hvyo..?ama umetokea masjudullah bwashee?
 
Back
Top Bottom