kamati kuu ya cdm inakutana leo asubuhi kwa dharura pamoja na mambo mengine itajadili na kutoa na kupanga uchaguzi wa baraza la vijana, wanawake na kutoa ratiba ya awamu ya pili ya maandamano yatakayoendelea nchi mzima.
Hakuna kulala mpaka kieleweke,
Kwa mtu asiyekuwa mzalenda wazo lako zuri. Hii ndiyo njia waliyotumia thithiem kuwashinda upinzani siku zote. Ni hii hasa ndiyo sababu nchi yetu haiendelei. Yaani katika miaka mitano ya uongozi miaka miwili ni ya kulala halafu mwaka mmoja wa kazi. Hii ni haja isiyokuwa na msingi wowote. Kwa ushauri wangu wapelekee thithiem usiilete kwa watu makini.kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.
kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.
Bila kuwa na ushabiki au upinzani usiokuwa na msingi kwa chama chochote cha siasa, hivi CHADEMA kama chama cha siasa hawana haki kufanya wanayoyafanya kwa sasa? Kama kuna kosa kisheria basi shuhdia hilo kosa vinginevyo unazungumzia mambo kwa hisia zisizo na msingi wala mashiko yoyote. Hata kama (CHADEMA au chama kingine chochote) wakiamua kufanya vikao au kuandamana kila siku alimradi hawavunji sheria za nchi, waacheni ni haki yao kikatiba. Na kujaribu kuzuia haki ya yeyote kwa sababu yoyote ile huko ndio kuleta machafuko.
Bila kuwa na ushabiki au upinzani usiokuwa na msingi kwa chama chochote cha siasa, hivi CHADEMA kama chama cha siasa hawana haki kufanya wanayoyafanya kwa sasa? Kama kuna kosa kisheria basi shuhdia hilo kosa vinginevyo unazungumzia mambo kwa hisia zisizo na msingi wala mashiko yoyote. Hata kama (CHADEMA au chama kingine chochote) wakiamua kufanya vikao au kuandamana kila siku alimradi hawavunji sheria za nchi, waacheni ni haki yao kikatiba. Na kujaribu kuzuia haki ya yeyote kwa sababu yoyote ile huko ndio kuleta machafuko.
kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.
Mh..! ratiba mbona ilishatolewa kuwa ni nyanda za juu kusini au ile ilikuwa ni nini?
Ok!kazi njema makamanda nadhani vijana mtakuwa mmeomba nafasi za uongozi kwenye maeneo yenu mbali na hz za kitaifa.
Mbona unatapika kabla hata ya kujua nini kinaendelea kwenye mkutano ukisikia neno CDM tu basi mat....o yanalia mbwata mtakonda sana mwaka huu.kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.
Hebu rudia tena kusoma post yako taratibu utuambie ulikuwa unamaanisha nini maana ni mchanganyo kwa kwenda mbele ni kama bata alikuwa anajisaidia.Kama maandamano ya amani poa tu lakini kama wataendelea kutoa milopoko ya incite watu then wajadili pia watafanya lipi chama kikipigwa stopu na tendwa,vilevile kama viongozi wakuu wakiswekwa lupango anything can happen siku zote simba mwendapole ndo mla nyama.
VIPI PENGO NAYE KAALIKWA maana nasikia ndo chadema one.
kiburi na jeuri mliyonayo itaishia pabaya, na hayo yote ndio matokeo ya hizo pesa mnazopewa na ma freemason. Chuki yenu na ccm lisiwe ni daraja la kuhamasisha tusiyohitaji kwa sasa. Kama ni matatizo yaliyopo nadhani mngejikita katika kuleta fikra kwa serikali nini kifanyike. Unajua shetani ni mbaya sana, akisha kuingia kichwani hata uambiwe unakosea unakuwa mzito kuelewa.wala kupata kula siyo mpaka mtumie njia hiyo. Ningewashauri uongozi wa cdm mngeacha kwanza mpaka 2013, there you will have many to say, ccm watakuwa hawana cha kudanganya.mngewaacha kwanza mkaona ahadi zao zitakuwaje kama kweli moo kitaifa zaidi.
Nyie viongozi wa chadema ivi mnajua kama movement zenu zinapandisha hisia kubwa za udini? Angalieni msije kuruka mkojo mkakanyaga mavi.